Let's goooo
Baada ya mimi kufauru vizuri na kuchaguliwa katika moja ya shule bora pale mkoani kwetu baba yangu alifurahi sana kwani mimi pekee katika mtaa wetu ndio nilipata daraja kubwa na kuchaguliwa katika shule hiyo nzuri so mzee aliniahidi zawadi ya kunisomeaha shule nzuri na ya gharama...
Hellow
Kwa majina naitwa washasimu washasimu ni mtoto wa tatu kwenye familia yetu kati ya watoto wa 5 na hii ndio historia yangu kwa ufupi
MAISHA YANGU YA UTOTO
Maisha yangu ya utoto kati ya miaka 7 mpaka 13 kifupi yalitawaliwa na furaha kiujumla kwa sababu nilikuwa huru sana kuchagua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.