Recent content by washa1964

  1. W

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Kwema, freemasonry ni chama au organisation kama unavyosema hilo ni kweli, ila kinakuwaje chama na dini? Ukweli ni kwamba Freemason sio dini ni organisation yenye malengo kutoa huduma na misaada ya kijamii, organisation kama hizo zipo kadha mfano lions club, lottery , freemasonry zina malengo...
  2. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Mnaogopa nyie ambao hamjawahi kishinda hasa siku moja ,mnakalia kudanganya wananchi wasio na hatia mara waandamane huku mkiacha familia zao zitahabike, hamna jema mnaponda flyover mnapita , msiwe wanafki.hameni Tanzania kama hampendi..tuacheni tusonge mbele kimaendeleo...
  3. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Huyo chinga kazoea mabasi yao ndege huwa anaziona angan tu, na kwenye picha pamoja maneno ya kijiweni ndo kazoea
  4. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Hawaelewi mkuu unapoteza muda, mwenyr hila hata umeleze vipi, anajihisi nae ni muarabu labda au kapata bwana wa kiarabu ndo mana anaisema vibaya tz na kusifoa waarabu
  5. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Figisu gani walifanyiwa?acha kulandikizwa chuki huna unalolijua ulitaka wafanye kazi bila kuzingatia masharti ya lesen yao na sheria za usalama wa anga, kabla ya kuropoka kama hawara wao fatilia ukweli kwanza...inaonekana zako ni wifi nae, machinga class, buti la zungu huna unaloelewa
  6. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Kalishwa sumu huyo, ana wivu na Tanzania chakushangaza kwann haendi kukaa na hao waarabu wake inaonekana anawatamani sana atuache na Tanzania yetu.
  7. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Waeleze hao mashabiki wasiojielewa....wanaotaka ndege ya elfu stini, ambayo huruhusiwi kubadili ticket, na chakula na vinywaji unanunua kama upo kwenye basi la mkoani, mzigo hata mdogo unalipia sijui haoni kama pana uhuni?nchi gani duniani ushaona ndege kuna biashara ya kichinga hivyo?ila...
  8. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Kweli hujitambuai sijawahi ona mtu anaisema vibaya familia yake, hi i we upo tanzania au uarabuni?ni mtanzania kweli?mbona huna hata elements za uchungu na nchi au kufurahia uzalendo?nyie ndo wasaliti wa maendeleo yetu.
  9. W

    Qatar Airways kuongeza ruti ya kutokea KIA kuanzia tarehe 01/06/2019

    Utumwa ni akili , waliokuwa wanaiponda dreamliner sasa wanapongeza qatar?watu hawana uzalendo bado wana utumwa w kiakili.
  10. W

    Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

    Labda darasa la pili ,siduani kama kafika tu hata la saba , sio kializa kufika tu...kwa kili na mawazo hayo Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
  11. W

    Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

    Ni kosa kwa sheria namba ngapi,na kifungu kipi? Act,ordinance? Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
  12. W

    Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

    Kwenye elimu huwa kuna makundi matatu 1.schooling by age Huyu anaemda shule/chuo kwakuwa uri kama huo watu huwa wanakuwa na degree au diploma au ujuzi fulani. 2.schoolinh by influence Mazingira yanakulazimisha usome kitu fulani, mfano ili ushike au uendelee kubaki kwenye wadhifa fulani au...
  13. W

    Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

    Haki haina chama wala itikadi....sote tuna haki licha ya chama chako,dini au kabila Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
  14. W

    Mbeya: Rose Mboma akamatwa na Polisi kwa kusambaza picha zenye Ujumbe "Nitamchagua Membe 2020"

    Kosa vyote sio akili...duh Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
  15. W

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    My,huna unalolijua...hayapungui 900 takwimu ulipata kwa shehe yahya?au kwenye vijiwe vya kahawa, Mimi ni member kwenye hizo org, lions wapo zaidi ya 1.3m, sio member tu Bali ni kiongozi nicheki private nikupe elimu tuongee kwa ushahidi na vielelezo sio reference za kihuni.namba yangu ni...
Back
Top Bottom