Kawawa ni kweli kabisa, huyo uliyemuelezea ndio Dr. Hildebrand ninayemjua mimi toka UDSM. Ni msomi, mtafiti aliyebobea, mchapa kazi, muungwana, mcheshi... Kiingereza nadhani kwa wengi ni lugha ama ya pili au ya tatu, hivyo kufanya makosa ktk lugha hiyo kwa wengi hakukwepeki.