Recent content by WARBOYy

  1. W

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Ha haaa! Eti useless sperm, wangezitumia hata kumwagilia maua
  2. W

    Hivi, wanaume wa humu mkoje?

    Epuka matapeli!
  3. W

    Nimehama Simba rasmi

    Kiufupi wewe ni huwa hauna akili tu. Aya mbili zipo kwenye sentensi moja
  4. W

    Lamine Yamal akabidhiwa Jezi Namba 10 asema "Messi ametengeneza njia yake, mimi nitaitengeneza yangu"

    Nani kasema yeye ni mchezaji, afu sio tu kwenye uchezaji wa mpira yaani nazungumzia kitu chochote unachofanya ukafanikiwa jitahidi uheshimu kila mtu ukiamini mambo yanabadilika mda wote
  5. W

    Lamine Yamal akabidhiwa Jezi Namba 10 asema "Messi ametengeneza njia yake, mimi nitaitengeneza yangu"

    Uwezekano wa kushuka upo(sio kwamba sasa ndio naombea ashuke) yaani hii huwa inakuja tu. Mimi nimeshuhudia mfano mmoja wa hazard najua mingine ipo mingi tu huko university siijui huku kitaa ndo usiseme walioisha ghafla
  6. W

    Lamine Yamal akabidhiwa Jezi Namba 10 asema "Messi ametengeneza njia yake, mimi nitaitengeneza yangu"

    Ninachojua kupotea hakuangalii tabia,majivuno wala nizamu bali hii inatokea tu hivyo ujifunze tu kuishi na watu vizuri
  7. W

    Lamine Yamal akabidhiwa Jezi Namba 10 asema "Messi ametengeneza njia yake, mimi nitaitengeneza yangu"

    Kiufupi jamaa hakumsema vibaya lamine bali ulikuwa ni kama ushauri tu Na ushauri wake kweli ni mzuri yani dogo kajilipua kabisa kama ni kutukana watu katukana mf. "Wewe utaniambia nini?,wewe utanitisha nini?, Unanini?" bila kufikiria mambo huwa yanabadilika ghafla. Hata kuwala wake za watu si...
  8. W

    Tunaotesa wenza wetu kwenye mahusiano Mungu anatuona, tukatubu!

    Saa tatu usiku umeamkaje?, Huko kwenu ratiba za kulala zipoje?
  9. W

    Hivi kwanini wanawake wanapenda kulala upande wa ukutani?

    Nani alikwambia kitanda lazima kiwe ukutani
  10. W

    Hatma ya ronaldo

    jamaa nimependa uandishi na mawazo yako yani hata chizi anakuelewa kwanza ni short and clear yani umejibu swali na madhara yake ikiwa atafanya hivyo pili ukashauri nini afanye
  11. W

    Wanawake wanaojifungua hospitali za umma, wanadhalilika, usalama na stara hakuna

    kwa mipango maalum. afu hata nisingezaliwa ningeasilika na nini? au kuna mtu nilimuomba anizae?
  12. W

    Wanawake wanaojifungua hospitali za umma, wanadhalilika, usalama na stara hakuna

    Tafuta hela...! uwe unaita tu daktari nyumbani kwako. Hao wanaozaa zaa hovyo waache waendelee kuzalilika maana wanashindwa kujitofautisha na mbwa Mtu hawezi kuwekeza kwenye kuzaa ili aje ailalamikie selikari Kuna mikoa ya wasukuma huko ukifika Mmh...! ngoja tu niache
  13. W

    Nielekezeni jinsi ya kutongoza wakuu

    kuna "aisee" 3492 na "pisi" kama buku jero hivi
Back
Top Bottom