Hawa tg kwani wanalipa kodi sh. ngapi mbona ni mtandao wa hovyo sana? Yani usumbufu na wizi wanaoufanya kwa wateja wake ni mkubwa sana tena sana. Ukinunua kifurushi hawakuoneshi ni muda gani kina expire. Lakini pia yaonesha customer care wao wana kiwango kidogo cha elimu ili wawalipe kaela kaduchu.
Hasa hawa tg hovyo sana toka amiliki huyo Muhindi wao basi mangi kwelikweli na huduma mbovu sana, kila mara ukiweka salio wanakata @ tigo hadithi na.... sijui afya... sijui bima wezi WAKUBWA hawa kama wa makinikia tu wachunguzwe hawa. Alafu ikipotea ela kwa makosa ndio huipati kabisa na hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.