Recent content by Wanitakiani

  1. Wanitakiani

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Hahahahaa....nilidhani hujuwi mtu akiwa na hasira yukoje! u could have started with Slaa, who was wearing a fixed smile and a fake laughter while burning inside. Huyo ndio alitoka mapovu
  2. Wanitakiani

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Hakuna asiyejua ufisadi umeasisiwa wapi!Taifa limepiga kelele serikali na chama husika kuchukua hatua dhidi ya ufisadi hadi leo hakuna hatua dhidi ya ufisadi wa EPA, Richmond, ESCROW na mauzauza mengine na wahusika wote wapo madarakani hadi leo na wengine wanautaka urais wakiwa kwenye serikiali...
  3. Wanitakiani

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Rungu, hivi ulimuona vizuri jana Slaa? sijawahi kumuona akiongea kwa tention na hasira maishani mwangu kama jana! zile sasa ndio hasira teh teh
  4. Wanitakiani

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Wanajipendekeza kwa nani?
  5. Wanitakiani

    Wizara ya Elimu sikilizeni vilio vya Wanafunzi Lutheran Junior Seminary na Mzumbe Sekondari

    Naomba radhi post hii imejirudia mara 3 nilipo-submit ilikuwa inaniambia "page not found" hivyo nikawa narudia ku-submit. Mods mnaweza ku-delete nyingine ikabaki moja. samahani kwa usumbufu!
  6. Wanitakiani

    Wizara ya Elimu sikilizeni vilio vya Wanafunzi Lutheran Junior Seminary na Mzumbe Sekondari

    Nimefuatilia kwa makini matatizo ya wanafunzi wa Lutheran Junior Seminary na Mzumbe sekondari zote za Morogoro, nimebaini kuwa wanafunzi wana hoja. Migogoro hiyo imetokea kwa vipindi tofauti. Walianza wanafunzi wa Mzumbe Sekondari na madai yao ya miaka zaidi ya 7 bila kusikilizwa. Madai yao...
  7. Wanitakiani

    Said Mohamed Saad - Mmiliki wa Home shopping Centre, amwagiwa tindikali!

    Ni kweli, amemwagiwa tindikali usiku huu na watu wasiojulikana. Ni Said Mohammed Mahmoud, mdogo wake Gharib.
  8. Wanitakiani

    Ujumbe hatari wanaswa na serikali...

    Chanzo Jamboleo!
  9. Wanitakiani

    Riport ya NHRC: Polisi walitumia nguvu Mtwara na raia zaidi ya 13 wameuwawa na kubakwa

    Tusijaribu kutatua tatizo bila kuangalia kiini cha tatizo! vurugu za Mtwara hazina siasa. kwa suala la gesi watu wa Mtwara kwa taarifa yako waliungana bila kujali itikadi za vyama. Nashangaa hata viongozi wanajitia upofu kwa kuweka cover eti kuna mkono wa wanasiasa nyuma. Mbona mawazo yenu...
  10. Wanitakiani

    RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Pamoja na kwamba mimi binafsi sijaiona hiyo rasimu a Katiba mpya, kama alivyowasilisha mleta mada, nimevutiwa na mapendekezo ya kuwa na: 1. Baraza dogo la mawaziri wasiozidi 15 na wasitokane na Wabunge, sawa kabisa! 2. Spika na Naibu Spika wasitokane na Wabunge na wasitokane na vyama vya...
  11. Wanitakiani

    Charles Mullinda wa New Habari: Nimejitoa Kwenye Jukwaa La Wahariri Tanzania

    Umenena! huyu Mulinda asituchangenye akili na wala asijitetee. kati ya waandishi wa habari ambaye sijawahi kuwa na imani naye ni charles Mulinda. Kwa jinsi hata magazeti yanavyompa uhariri huwa najiuliza mara mbili mbili kuwa ni kweli watu na hekima zao wanampa huyu jamaa mbabaishaji nafasi...
  12. Wanitakiani

    TANZIA: Dr. Ferdinand Masau wa Tanzania Heart Institue afariki dunia

    It's so sad!!! Dr. Ferdinand Masau passed away today at 18hrs at Aga Khan hospital. Alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu, lkn afya yake ilianza kuzorota baada ya kitendo cha kikatili cha kufungiwa hospitali yake na kutokuruhusiwa kuingia kuchukua hata handkarchief aliyoiacha mezani alipotoka usiku...
  13. Wanitakiani

    Board ya Mikopo na Prof. Mlacha wa UDOM ni Majanga Makubwa kwa Taifa

    Ni kweli! Uongozi wa Udom ni janga la kitaifa!
Back
Top Bottom