Kikundi cha sanaa ya maigizo cha living stone Kinachoundwa na wasanii wa ujiji,kibirizi,na katonga, mkoani kigoma kipo hatiani kufungiwa, kutokana na Mkuu wa kundi hilo ramadhani abduli,(JB)kutoliendesha kwa kanuni na tarabu zinazo tolewa na basata, msemaji wa kikundi hicho bwana, rajabu...