Recent content by wanchijiko

  1. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    Ni sehemu ilishawai fanywa tafiti na kampuni xxxx siwezi itaja ndio tunainyonya kutoka kwa iyo kampuni wana report whole village ikiwemo na site yetu ilipo. Coz n leseni ambayo imezungukwa na PL za graphit za iyo kampuni, hivyo katika kufatilia utaratibu ndipo tukaambiwa eneo liko na report...
  2. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    Kiongozi zoezi la report ndio liko mbioni kukamilika hivyo ikiwa tayar nitakutafuta tuone namna ya kufanya
  3. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Soko na bei ya madini ya amethyst Tanzania

    Ndio tunawasubiri ,naona hawajarudi holiday ya new year
  4. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    Masasi ndugu ni 20km kutokewa mjini,
  5. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    "Kuna maelezo mengi yalishapimwa ishu vizuri na watu WA wizarani kupata reports kama fedha ni changamoto" Apo nifafanulie vizuri sijakuelewa kiongozi
  6. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    Asante na kwako pia
  7. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    Asante ,kamanda na wewe pia katika harakati zako Mungu akutangulie
  8. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    Uko sahihi,lakin kama uko katika hii industry nadhani unajua gharama za kuipata iyo geology report so kitu rahisi kwa mitaji yetu ya kuunga unga ni sawa au zaidi ya pesa unayoitafuta katika haraka zetu izi. Alafu mbona wachina ni watu ambao hawana sana mambo ya report wanahitaji wafike site...
  9. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania The State, We must Both agree that We need to move from MAGUFULI to MAGUFULISM na huo ndio uwe Mwelekeo wa Taifa

    MAGUFU alikua rais bora kuwai kutokea na sijua km atakuja kutokea , hayo yote anayosemwa kua ni mabaya na wanaomsema kwa ubaya ndio ambao walikuwa wapiga deal na hawana chochote zaidi ya kupigia kelele matumbo yao,ila km mtu ulikua umenyooka una makandokando yule mwamba alikua mwamba yani km...
  10. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania The State, We must Both agree that We need to move from MAGUFULI to MAGUFULISM na huo ndio uwe Mwelekeo wa Taifa

    Kwahiyo hukumpenda magufuli km "mtu" kwa tabia zake zipi ? Alafu apigiwe mfano na maziri gani ,coz mazuri yote na yametokana na tabia zake personal ambozo ulikua hauzipend, Ebu nyooka mzee ueleweke, km moto sema moto ,km baridi sema baridi mambo ya vuguvugu atutaki,
  11. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupiga picha ya passport size nimestuka sana kuona sura ilivyozeeka, vioo huwa vinatudanganya ?

    Achana na uo uzee,pambania kubunda tu ujana unakuja automatic ,ukipiga passport tena mwenyewe itafurahi,umaskini ni m'baya sana mwili wako mwenyewe unakugeuka
  12. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupiga picha ya passport size nimestuka sana kuona sura ilivyozeeka, vioo huwa vinatudanganya ?

    Inabidi awe mzee mwenye pesa sasa ndio izo baraka na matunda unayo yasema ata yaona ,vinginevo ataesabiwa kua ni mjinga fulan tu alozeeka 😃😃 tena anaweza akatuhimiwa na uchawi kabisa,
  13. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Mgodi wa dhahabu unatafuta muwekezaji au mnunuzi mkoa wa Mtwara

    RIPOTI FUPI YA UHITAJI WA UWEKEZAJI AU MNUNUZI WA MGODI WA DHAHABU Historia: mgodi una leseni PMLs na ziko tatu zilizo ungana pamoja Mgodi ulianza rasmi shughuli za uchimbaji mwaka 2019. Ni mgodi mpya ambao bado haujafikia uchimbaji wa kina, kwani uchimbaji upo kwenye miamba laini karibu na...
  14. wanchijiko

    JamiiForums Tanzania Soko na bei ya madini ya amethyst Tanzania

    Habari zenu wana JamiiForums na wadau wa madini kwa ujumla, Naomba kufahamu ukweli kuhusu bei ya amethyst kwa hapa kwetu Tanzania (soko la ndani) kwa zile zilizo safi ,rangi omekolea na ukubwa kuanzia 3g nakuendelea ,kilo inakua bei gani? Na je ukizalisha soko lipo la uhakika au adi upate...
Back
Top Bottom