Recent content by wanachuo

  1. W

    Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) yanyakua tuzo ya jumla maonesho ya madini

    Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) leo tarehe 13 Oktoba limenyakua Tuzo ya Jumla (Overall Winner) kwa upande wa sekta ya umma kwenye Maonesho ya Madini yanayofikia tamati leo mkoani Geita. Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,Dkt Samia Suluhu Hassan ambaye ni Mgeni Rasmi kwenye...
  2. W

    DOKEZO Responded OSHA mko wapi? Ubomoaji wa jengo la zamani la DDC Kariakoo unafanyika kiholela, ni hatari kwa usalama wa Watu

    Binafsi nilishuhudia hili zoezi,watu wanataharuki kubwa kutokana na msongamano mkubwa katika eneo hili.
  3. W

    Msanii Chidi Benz akamatwa na polisi Airport

    Akili zetu zimefungwa kiasi cha kuwaona hawa wanaoitwa wasanii ni vigizo vyetu vya maisha,media kama JF yenye hadhi kubwa katika jamii nayo inapost hii habari kama habari kwa kutoa uzito wa juu kwa aliyekamatwa na sio madawa ya kulevya.Huyo kijana kwa wale watu walifungwa akili zao ni kiigizo...
  4. W

    Video: Miss tanzania awekwa kitimoto na waandishi wa habari

    "Mkiyaacha mafundisho yangu mtadhalilika hapa duniani na siku ya hukumu mtapata adhabu kali"Maneno matakatifu kutoka katika kitabu anachoamini Sitti...Pamoja na kutembezwa uchi bado anaendelea kudhalilika katika jamii.Baba,mama sio maskini useme anafanya hiyo kazi kujikimu maisha yake....
  5. W

    Sitta kukutana na kardinali Pengo na Mufti Simba

    Afadhali Pengo anajua kusoma ....Shekhe Mkuu hajui kusoma wala kuandika.....sijui itakuaje!
Back
Top Bottom