Recent content by Wamuyaya

  1. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NRNE
  2. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania Kenya ina interest gani na Tanzania? Taarifa ya Habari Citizen Habari kuu ya kwanza na ya pili ni za Tanzania

    Wewe una interest gani kufuatilia TV za Kenya wakati TZ kuna TV kibao?
  3. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu

    Hivi hii nchi ingekuwa na Magwajima kama 5 huvi, naamini TZ ingekuwa kama Marekani.
  4. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia: Tusi-gwajimanize chama chetu, Magwajima tuyaache huko nje. Ukicheza ngoma si yako lazima utaharibu

    Gwaji boy ataondoka na kijiji pale Fisiemu. Muda utaongea.
  5. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania Kuokoka ni nini? Walokole wanaposema wameokoka, wanamaanisha nini?

    Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiyo atakayeokoka (Mathayo 24:13 SUV)
  6. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania Tabia za Kuwatahiri watoto wadogo na kuwatoboa masikio na pua mabinti wadogo zinapaswa kulaaniwa na kukomeshwa

    Sijatahiri mkuu, na utafiti unaonesha mashine isiyokatwa ndio inapiga kazi vzr.
  7. Wamuyaya

    JamiiForums Tanzania Tabia za Kuwatahiri watoto wadogo na kuwatoboa masikio na pua mabinti wadogo zinapaswa kulaaniwa na kukomeshwa

    Ndugu zangu, nimesimama mbele yenu ili kuwashirikisha ukatili wanaofanyiwa watoto wadogo (wa kiume na kike) na wazazi/walezi wao. Wazazi na walezi wa watoto hawa naamini wanawafanyia ukatilii huu watoto wao kwa sababu ya ujinga tu. Kwa mfano, utakuta binti mdogo anatobolewa masikio tena wakati...
  8. Wamuyaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

    Nimekupenda bure, umenena vema.
  9. Wamuyaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

    Hivi madingi wanaokula mabinti zao wa kuwazaa inakuwaje si x200 afadhali ya hata anayemla mama mkwe!?
  10. Wamuyaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

    Punguza wivu kijana...habari ndo iyo....
  11. Wamuyaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

    Niko serious mkuu, sema hayajakukuta. Siku yakikukuta ndio utajua au siyo chai.
  12. Wamuyaya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

    Uko vzr mwamba nimekusoma bila shaka, inawezasaidia ingawa bado mpini kashika yeye, mimi nimeshika makali. Naogopa kumshirikisha mke wangu juu ya hili jambo. Anaweza panic akaharibu show jumla. Hawa viumbe si unawajua lkn?
Back
Top Bottom