Ndugu zangu, nimesimama mbele yenu ili kuwashirikisha ukatili wanaofanyiwa watoto wadogo (wa kiume na kike) na wazazi/walezi wao. Wazazi na walezi wa watoto hawa naamini wanawafanyia ukatilii huu watoto wao kwa sababu ya ujinga tu.
Kwa mfano, utakuta binti mdogo anatobolewa masikio tena wakati...
Uko vzr mwamba nimekusoma bila shaka, inawezasaidia ingawa bado mpini kashika yeye, mimi nimeshika makali. Naogopa kumshirikisha mke wangu juu ya hili jambo. Anaweza panic akaharibu show jumla. Hawa viumbe si unawajua lkn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.