Huko kote unaenda uliza bei ili iweje kama wewe hauuzi? Pia mjini wanakula kwa buku tano kulala 20
Kama unauza humu jf pia usiwe na woga sema tu wa buku saba watanunua ila sio hizi figure zako za 0000
STORY ZA JF SIKU HIZI HAZINA UHALISIA KABISA, UNAMGEGEDAJE SHEMEJI KISA AMEKUITA AKIWA UCHI? ALIKUAMBIA KWAMBA ANATAKA KULIWA?
KWA ICON YAKO INAONYESHA UMEZALIWA MIAKA YA 1992 MTOTO MDOGO KABISA UNAANZAJE KUMLA SHEMEJI YAKO BILA KONDOM? NYIE NDIO AMBAO MNAKUFA MAPEMA MKIWAACHA WAZEE WAKIPATA...
NAONA HII NI MARA YA PILI UNALETA UZI WA KUCHUKIZWA NA MADIMBWI YA MAJI UBUNGO,LEO UNASEMA NDIO UMEFIKA UBUNGO BAADA YA KUSAFIRI MIAKA MINGI KWA NDEGE,
LA PILI NASHINDWA KUELEWA HAYA MAJI MACHAFU YALIKUFIKIAJE NDANI YA GARI HUKU UKIWA UNASEMA CHUPA ILIKANYAGWA CHINI YA TAIRI? NINA WASIWASI NA...
Kawaida polisi na vyombo vingine huchukua maamuzi pale ambapo majanga huripotiwa kama wanaliwa na hawatoi taarifa sasa jeshi litabunije kukamata watu bila uhakika, Na kwa nini watu wanalalamika haya mambo na bado mnaenda huko ?
INAONEKANA UNA BAHATI SANA YA KUWA KARIBU NA WADADA WANAOONGEA MANENO YA KUGEGEDANA MAANA HII NI MARA YA PILI UNALETA UZI UNAOENDANA NA HUU UKIZIDI KUZUNGUMZIA UKARIBU WAKO NA WADADA WANAOTETA
Itakuwa una vinasaba vya kike wewe. Kama unaweza ingia kwenye simu ya smart phone na kuandika jf hasa kwa maeneo ambayo yana 3g. Sasa kwa uzoefu 3g iko maeneo ambayo kidogo yameendelea sasa sijui unabishana nini.Hata zahanati ikosekane
Acha hadithi na story za abunuasi, hivi kijiji gani hicho ambacho kuna vocha na smartphone unayo ya kuingia JF huku kikose duka la dawa au zahanati ya kuchek kama una mimba au laah?
tatizo mmezidi stori maana kama ni kweli anataka shida ni nini si umle?
Na ndio maana nakwambia hii ni stori kama unachoongea ni cha kweli tuletee screen shot ya conversation zenu tuone hapa.
Kodi zao za nyumba zimeisha ndio maana wanaanza kukuita jomoni jomoni utashangaa kesho baby naomba laki nane nikalipe kodi ndio utakapogundua neon MY LOVE linalipiwa kodi
Ila hata maandiko ya dini hayakatai kuwa nao zaidi ya mmoja kwa kuwa tumekushauri sana kumkacha ila unaonekana hutaki basi nendeni mkacheck afya kama akiwa poa fanya kama unao wake wawili.ukishaoa yule wa 20s funga ndoa na kwa huyu pia awe nyumba ndogo.
Hakuna namna sasa maana hutaki kusikia...
Inaonekana umekazana sana na hauko tayari kuliacha hilo lidada lako, Sasa mkuu amua wewe mwenyewe cha muhimu kuwa makini asije kukuletea magonjwa ukamuua bure demu wako
ni PM nimuonje then nitakupa jibu kama uendelee nae au umuache.
Lakini nikuulize kwani demu wako ziwa lake limekuwa lapa? na je hana k nzuri na hana tako kubwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.