je unafuatilia kwa karibu matendo yanayoendelea ndani ya chadema au mapenzi na kile chama ndo yanakufanya ulopoke, je umefuatilia mapato na matumizi yao jinsi yanavyokwenda, kweli ccm ni wezi lkn chadema ndo hawafai kabisa, we angalia hata wanavyoongea hao wabunge wao ni jazba na chuki bt hakuna...
inamaana CHADEMA si watu wa kuulizwa kitu jamani, mbona tunatishana kama hv itakuwaje tukishawakabizi madaraka, tutakuwa na nguvu ya kuwahoji kweli, mi mwenyewe ni mpenzi wa CHADEMA lkn sio kipofu kama wewe, inaonekana hata mkeo au mumeo huwezi kumuuliza kitu kisa unampenda sana, tuache mambo ya...
kwani ili awe chaguo la Mungu inabidi awe na sifa gani ambazo pengine huyo hana, maana imepita muda kidogo tangu kauli hiyo itoke, kwa maana hiyo umeifanyia kazi kwa kipindi chote na ukabaini kuwa amekosea kutoa kauli hiyo, sasa ni zipi sifa za chaguo la Mungu uzijuazo wewe?
ulishawahi kumuona jini akiswali msikitini kwa macho yako? binafsi sijawahi kuona, hata hivyo uislam si dini ya shetani wala mapepo ni Dini ya ALLAH sw aliyetakasika ambae ameiridhia, Mungu ambae amekuumba wewe leo unaleta nyodo na kashfa dhidi ya Mungu wako, but subir tu hivi punde utajjua...
hata ukitumia akili ya kibinadamu tu utaona kiwango cha chuki ulichonacho jinsi kinavyokupeleka pabaya, ulishawahi kuona jini anaenda kudeposit pesa kwny tawi lolote la NBC? jibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.