Kweli kabisa! Na atakwenda peponi kwa kutakatisha pesa na kuirudisha kwa wamiliki halali yaani sisi wananchi ! Mitaano tenaaa! Nasema uongo ndugu zangu ???
Na watakao sumbuka zaidi ni hao walio tengeneza hilo gonjwa maana pale UK limesha badilika hivyo hiyo kinga inaweza isifae tena ! Waanze upyaaaaa ! Jini wamelifungulia toka kwenye chupa kulirudisha ipo kazi!
The late old man really wasn't in his right sence or he was ill advised to marry such a beauty queen ! Yaani kweli kabisa kwa umri wake akaopoe kile kipusa 😳 ni kujitafutia umauti tuu !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.