beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema Chama hicho kipo na kitaendelea kuwepo, akisisitiza "ACT is here to stay"
Amesema, "Nguvu za ACT-Wazalendo si silaha wala mabomu bali ni Umoja wa Wanachama wake na mshikamano ambapo upo katika Chama"
Vilevile, Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa, kwa ufahamu wake, yeye ana jukumu la kutekeleza ambayo yameamuliwa kwenye vikao vya kitaifa, na atasimamia katika hilo
Aidha, amezungumzia suala la baadhi ya Vijana katika Chama hicho kusema anataka king'ora tu. Amesema, vijana hao wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kulinda maamuzi ya Chama
Amesema, "Nguvu za ACT-Wazalendo si silaha wala mabomu bali ni Umoja wa Wanachama wake na mshikamano ambapo upo katika Chama"
Vilevile, Mwenyekiti huyo ameongeza kuwa, kwa ufahamu wake, yeye ana jukumu la kutekeleza ambayo yameamuliwa kwenye vikao vya kitaifa, na atasimamia katika hilo
Aidha, amezungumzia suala la baadhi ya Vijana katika Chama hicho kusema anataka king'ora tu. Amesema, vijana hao wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kulinda maamuzi ya Chama