Acha donge bwana Mdogo! Mbona tanga, mtwara, lindi, mbeya, kilimanjaro, rukwa, katavi, simiyu, geita, mara, rukwa, pwani na mikoa mingine huulizi.
Mbona unaigopa ACT kiasi hicho? Huu ni wakati wa ACT na Chadema tena.
Ulikuwepo wakati wa NCCR mageuzi, ukaja wakati wa TLP, ukafuata wakati wa...