Recent content by wambura mwita

  1. W

    Upinzani utakuwa ICU baada ya Oktoba 2015

    Nazanini unaota ndoto za mchana inawezekana unaiotea ccm itafutika kwenye lamani ya Tanzania pamoja na dunia R I P ccm
  2. W

    David Kafulila ndani ya kipindi cha Dakika 45, ITV

    Kati ya vijana wanasiasa tanzania wanaojielewa huyu ni moja wapo
  3. W

    Zitto: Wabunge zaidi 50 wa vyama mbalimbali kujiunga na ACT

    Naona huyo zitto alikuwa anaota
  4. W

    CHADEMA mziki mnene

    Tundu lissu alishasema kumuongelea zitto nikumpa sifa zisizostahili
  5. W

    CHADEMA mziki mnene

    Chadema mwendo mdundo mpaka kieleweke
  6. W

    Amsha amsha ya UKAWA nchi nzima kuanza Jumatano 12/05/15

    Usiwe na wasiwasi tutafika tu ukawa tuko kazini
  7. W

    Naikubali 'rushwa' anayotoa mbunge Filikunjombe...

    Mimi kiukweli namkibali sana ila chama chake sikikubali
  8. W

    Picha za kafulila akisimikwa utemi wa kahama akiwa ameambatana na lema

    Ilitaifa lisonge mbele Tunahitaji vijana kama hawa ukawa piga kazi vijana tupo pamoja nanyie
  9. W

    Updates: Mkutano wa Lema na Kafulila Kahama

    Hakuna kulala mpaka kieleweke
  10. W

    Kimenuka CCM Arusha sasa vipande vipande

    Inabidi ccm ijitafakali isifanye mambo kimazoea wakae wakijua kuna ukawa
  11. W

    Salum Mwalimu Kugombea ubunge Zanzibar kwa tiketi ya CHADEMA

    Naona mwaka huu ukawa wamejipanga kuchukua inchi na lazima ichukuliwe
  12. W

    Update: Mkutano wa Mbowe Shinyanga Mjini

    Mungu ibaliki chadema iliiweze kupambana zaidi
  13. W

    UVCCM yamjibu IGP Mangu, Green Guard si kikundi cha kijeshi

    Huu niomoja wa matapeli sio umoja wa vijana ccm
  14. W

    Mkutano mkubwa wa ACT-Wazalendo

    Mimi nimgeni na kukalibishwa kwenye jukwa
Back
Top Bottom