Recent content by Wamabere

  1. W

    JamiiForums Tanzania Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

    Mimi nashangaa leo ndio tunastuka na majasusi wa Rwanda!! Mchungaji mtikila alisema sana kuhusu majasusi wa Rwanda ndani ya serikali yetu hakuna aliyejali kila mtu alimuona Mtikila ni kichaa. Kwa taarifa yenu Mtikila alikuwa jasusi namba moja wa nchi hii kama mnabisha chunguzeni alichokuwa...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Malori ya mahindi yakwama mpakani, wamlilia Rais Samia

    Hawa Kenya hawana urafiki au udugu tulisema hapa tukaambiwa wachochezi na sukuma gang sasa ile huku Uhuru huku Suluhu kiko wapi? Ndio kwanza wanachochea mgogoro wa wamasai ili Tanzania ionekane inawaonea jamii ya wamasai
  3. W

    JamiiForums Tanzania Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

    Mbona unachekesha tunazungumzia mwendawazimu alafu wewe unataka tukamuulize kichaa?
  4. W

    JamiiForums Tanzania Ismael Jussa amesema kuwa Nyerere ndiye aliyemuua Abeid Karume, yana ukweli haya? Na kama siyo mbona bado anazunguka mitaani, akamatwe

    Ninachofahamu Karume aliuwawa na Captain Humud kwa sababu ya kulipa kisasi cha baba yake aliyeuwawa akiwajela tena aliapa mbele ya wanafunzi wenzake wakiwa Urusi akisoma kwamba akirudi Zanzibar lazima atalipa kisasi (Alkisas). Karume alijulishwa hilo lakini alipuuza akidhani kwamba akimpandisha...
  5. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Five Reasons Kenya Funds Evil Scenes in Ngorongoro Crater

    Well documented alafu kuna mtu mmoja wa TZ alienda kenya na akawahakikishia kwamba atafungua lile geti pale Bologonja magari yapite na watalii kutoka kenya
  6. W

    JamiiForums Tanzania Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

    Na hapo bado yule sultani Jamshid hajaingia yupo hapo Oman alishahama kutoka London pengine anaandaliwa kupokelewa rasmi
  7. W

    JamiiForums Tanzania Msemaji Mkuu wa Serikali avipongeza vyombo vya habari kwa kutoripoti yanayoendelea Ngorongoro na Loliondo

    Labda wamesharambishwa asali maana hii ni zamu yao
  8. W

    JamiiForums Tanzania ‘Wazungu wa Royal Tour’ wapinga Wamasai kuhamishwa

    Narudia tena Ngorongoro inatakiwa iwe ya wanyama tu binadamu yoyote asiishi mle ndani na hoteli zote zilizomo ndani ya crater zivunjwe zijengwe nje ya crater au Karatu na Oldeani. Watalii watakuwa wanaingia crater na kutoka basi.
  9. W

    JamiiForums Tanzania Cheo cha Makamu wa Rais hakina tija, tukiondoe, tubakishe cha Waziri Mkuu

    Kuna yule mwingine alikuwa na koti kuubwa kumbe mfukoni alikuwa anachukua mkasi kazi yake kukata tepe
  10. W

    JamiiForums Tanzania Membe: Hutosikia tena Mtu ametekwa au kaokotwa kwenye kiroba

    Dakta Ulimboka alitekwa na JPM na kungo'lewa meno kwa koleo? Si huyo Membe na kaka yake. Huyu bwana ameonyesha wazi kwamba ni mufilisi kisiasa eti alitaka awe rais wa nchi mtu hata msimamo hana CCM alafu ACT alafu CCM si afadhali mzee wa ubwabwa ana msimamo bado yupo na chama lake mpaka leo
  11. W

    JamiiForums Tanzania Je, huyu Rais wetu wa sasa ni Vasco Da Gama mwingine? Ziara za nje zimekuwa nyingi sana kama enzi za Awamu ya Nne

    Wawekezaji wa kutoka nje hawatatusaidia sisi kujikomboa kitu cha msingi tutafute teknologia tutengeneze vyetu tupate mtaji na huu mtaji yaani fedha zipo ila matajiri hawataki kulipa kodi. Hebu angalia mpaka leo wenye mabasi wamegoma kutumia zile mashine F nini sijui kukata tiketi. Ukituma barua...
  12. W

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Oman kuanzia June 12

    Jamani kwani mialiko yote lazima uende? Mbona sijasikia rais wa Botswana anaalikwa? Sisi hela yetu ya kukopa na bado tunatumia vibaya
  13. W

    JamiiForums Tanzania Mahakamani: Paul Makonda ambwaga Saed Kubenea

    Huyu Kubenea ni bora apumzike huku ni kujihalilisha
  14. W

    JamiiForums Tanzania DRC: Wanajeshi walinda amani wa Tanzania wajeruhiwa katika mapigano na M23

    Fedha ndugu yangu serikali inalipwa na wanajeshi wanalipwa tena vizuri tu
Back
Top Bottom