Siku zote sio lazima kama madiwani wa CUF wakiwa wengi basi meya atoke CUF.
Kuna mawili aidha;
1. Baadhi ya madiwani wa CUF hawamkubali mgombea umeya kupitia CUF
2. Baadhi ya madiwani wa CUF wamechukua rushwa na kumpigia mgombea umeya kupitia CCM
Mimi nakushauri uchukue mkopo wa sh mil 12 katika benki ya CRDB. Uchukue mkopo huo kwa kulipa muda wa miaka mitatu.
Makato yatakuwa sh 433230 kwa mwezi.
Ukichukua mkopo wa mil 12 kwa riba ya 18% ndani ya mwaka mmoja utalipa jumla ya sh 13,177,920. Makato kwa mwezi ni sh 1,098,160. Kwa mshahara upi ulipe pesa zote hizo kwa mwezi?
Sikujua kama wewe na manyumbu wengi ni vilaza namna hii.
Katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 25 Oktoba 2015 Wazanzibari walipiga kura kuchagua viongozi wa aina tano; Rais wa Zanzibar,Mjumbe Baraza la Wawakilishi, Diwani,Rais wa Tanzania na Mbunge.
Katika kila kituo cha kupiga kura...
Hivi maana ya laws ni miswada? au hujaelewa hiyo article ya kizungu?
Kwa taarifa yako kama ulikuwa hujui ni kwamba Sheria nyingi za Tanzania zimetafsiriwa kwa kiswahili , www.sheriakwakiswahili.blogspot.co.ke/2014/09/bofya-hapa-kupata-sheria-na-vitabu.html?m=1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.