Nishaset apn ila shida ni kwamba baada ya muda flani zinagoma kufunguka tena. Sasa kazi imekuwa ngumu kila muda kuset. Ndo naomba msaada kama Kuna permanent setting ya internet ili nisipate hiyo shida ya kuset kila mara
Samahani Chief-Mkwawa Nina simu aina ya Samsung Galaxy a13 ina tatizo la kushindwa kufungua Google, chrome na YouTube japo internet ipo connected na WhatsApp inafanya kazi vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.