Recent content by Wakuvelumba

  1. W

    Kwanini RC wengine huwa hawana fedha kama ilivyo kwa Makonda?

    Mbona mm ni mkereketwa wa Chadema namkubali makonda, usilete siasa kwenye uongozi unaosikiliza matatizo ya wananchi, Uongozi ni karama, uongozi ni kujiongeza, uongozi ni ubunifu, Makonda vyote anavyo, RC's wengi nchini hawana karama ya uongozi bali wamepewa uongozi kwa nguvu ya chama, hivi...
  2. W

    Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

    Tena masaa tu jiji la kigali linabaki historia
  3. W

    Imevuja: Mamia ya askari wa Rwanda wauawa huko DRC

    Wameiteka ila kwa gharama kubwa na mwisho wa siku SADC wakikubaliana wanawafurusha tena kwa gharama kwa kuuwa tena hao wahuni, ni ngumu sana kwa maslahi ya Congo kwa nchi nyingi kuruhusu waasi wa M23 kuitawala Congo wataendelea kufichama maporini huko,
  4. W

    Tunaomkubali Donald Trump tukutane hapa

    Team Trump and Traore tupo pamoja, 👊
  5. W

    DRC iwaangukie "mabeberu" wakubwa wa Magharibi kumaliza vita nchini kwake, mabeberu wanahitaji kubembelezwa kidogo tu na kuheshimiwa kumaliza mgogoro

    Congo ikiwa na amani Rasilimali wanazoziiba hao mabeberu watazipataje Congo haiwezi kuja kuwa na amani mpaka yesu arudi, maana kuisha kwa rasilimali zake haziwezi kuisha...
  6. W

    Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

    Kagame apigane na South Africa? Dah hizi bange mnazovuta😆
  7. W

    Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

    Kwa taarifa yako tu gaza itajengwa haraka sana kwa mabilioni ya dola ya waarabu, Israel walikuwa hawataki makubaliano ya kusitisha vita kwakuwa Hamas na Houth wangeonekana washindi kwakuwa pesa kwa mwarabu kuijenga gaza sio tatizo, Waarabu wana pesa sana wamejaza kwenye mabank Ulaya magharibi...
  8. W

    Kamwe miti ya matunda ya kisasa haiwezi lingana na ya asili iwe utamu au kuzaliana

    Leo nimekula Embe langu dodo la Asili aiseee tuendelee kutunza vya asili ni tamu na lina ya hatari😋
  9. W

    Magaidi 15 wa Israel ambao wanaua watoto Gaza maiti zao zimepelekwa Israel

    Magaidi hayo yako motoni saivi yanaendelea kuunguzwa☹️
  10. W

    Tundu Lissu aongoza kura za mtandaoni dhidi ya Mbowe kwa kura asilimia 84 dhidi ya 16

    Wabongo bhana, wanatetea demoghasia mbowe kachukua form oooh kwann kachukua form kwaiyo Tundu Lissu mlitaka apite bila kupingwa!? Demoghasia wengi wape, wajumbe tupeni mwenyekiti chadema mumpemdae😀😀
Back
Top Bottom