Recent content by Wakusoma 12

  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mkopo wa 10% Halmashauri Kigamboni: Mke wangu alipangiwa 9.6M lakini mwisho anaambiwa atapewa 3M – Je, hii ni kawaida?

    Shituka, mke wako kuna watu wanamla hiyo mikopo haitoki kizembe mkuu. Kaa chini uliitafakari hili nililokuambia
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Lini Afrika itapata Ballon d'Or tena?

    Kama hawakupata Kina Drogba, Samwel Etoo na Tou're basi hawa wa sasa hawawezi hata kuwa nominated ijapokuwa majina yao yanawekwa kwa malengo fulani ya waandaaji wa Tuzo.
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Duchu: Jina ni langu natamba nao, suala hili lipo kwenye mikono ya sheria, kazini wamechukua hatua

    Aache ujanjajanja You be'la watch your 🔙
  4. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Ugomvi wa jana kati ya Trafiki na Daktari ni rushwa. Rushwa imekuwa haki ya askari wa usalama barabarani.

    Itoshe kusema taifa limeshaanguka tayari. Hakuna tena mamla na taifa limeingia kwenye hatari isiyoelezeka. Kwa ufupi tumekwisha.
  5. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru Atoa Agizo Kesi ya Lissu Ikamilike Ndani ya Siku 14

    Sisi tumeamua hata mahakama tutaishi nayo next round
  6. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Paulo Chacha ana akili timamu?

    Paul chacha kwa muonekano wake tu ubongo ishaliwa na wadudu
  7. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Paulo Chacha ana akili timamu?

    Wewe huoni kama ana ngwengwe? Paul Chacha kichwani wadudu wameharibu Medula
  8. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kenani ana utulivu mkubwa mno, akili pia 🙏

    Wewe ni mke wake?
  9. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Odemba hayuko analytical kama Khalifa wa The Chanzo

    Mkuu hivyo vipindi vingi ni Edited inasomeka live ila hakuna live hapo. Kwa hawa wanasiasa na hao waandishi hawana uwezo wa kufanya critical reasoning
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Suala la Nchimbi kufukuzwa CCM: Vijana msijimalize, kuna kesho!

    Hii ishu ya Nchimbi ukiizOOm unaona kabisa iwapo litatokea jambo lolote ndani ya hii miaka 4 basi jamaa anachukua nafasi (namanisha siku CCM wakipelekewa moto na tayari dalili zipo)
  11. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula: Balozi Polepole yupo gereza la Ukonga

    Watanzania hii ni code
  12. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania UN yaidhinisha ramani yenye Ukubwa halisi ya Afrika huku USA Wapinga.Tu Damp Dini, Elimu na mifumo Yao ya Utawala.

    Afrika ni muda wa kugawana fito sasa na hawa Wanasiasa wasenge
  13. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Air Tanzania imetangaza kurejesha safari zake za Dar es Salaam-Moscow kuanzia Septemba 7, saa chache baada ya kutangaza kuzisitisha

    Uzuri maamuzi ni yao na Bima hazitahusika kwa lolote iwapo Kitanuka
  14. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Air Tanzania imetangaza kurejesha safari zake za Dar es Salaam-Moscow kuanzia Septemba 7, saa chache baada ya kutangaza kuzisitisha

    Zelensk ashasema Mashirika ya ndege na bima yasitishe mara moja safari za ndege za kiraia kwenye anga la Urusi maana drones za Ukraine zitakuwa zinatembele St Petersburg na Moscow kusalimia.
  15. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Kati ya mbuzi na kondooo
Back
Top Bottom