Recent content by Wakusoma 12

  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Wewe umeelewa nilivyouliza? Au una changamoto ipi mkuu?
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania ITV Tanzania huo u ‘super brand’ nani aliwapa? Je, ni tuzo ya kudumu?

    Wakuu mwenye taarifa atupatie maana ni hatari sana kuishi hivyo kwa uongo miaka yote na bila aibu kabisa!
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM Hatimaye yachukizwa na utekaji! Yaumizwa na yaliyotokea Oktoba 29, Balozi Migiro ateta na Kikeke

    Hiki kibibi kina dharau sana halafu mbona kama kina ngwengwe?
  4. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Rais Samia usiumie inapotokea mtu anafanana na Choroko

    Nchi imeshawashinda hii
  5. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania KERO Mkuu wa Wilaya ya Ngara anatudhalilisha Watumishi. Achukuliwe hatua!

    Kwa namna watumishi hasa mlipuko halmashauri nnavyojidhalilisha kwenye chaguzi mpaka mnapelekea taifa kuingia kwenye matatizo kisa kutiki bora huyo mkuu wa wilaya
  6. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Whatever mkuu
  7. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Muda ni Mwalimu mzuri sana: Siasa ni kama upepo, hubadilika wakati wowote

    Kwa hapa tulipo bora kitulambe wote kwa sababu hakuna thamani tena kama wana wa Nchi tunayopata.
  8. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ted Cruz anayetaka Marekani ituwekee vikwazo, sio Rio Ferdinand wa kumhonga tiketi ya ndege na hoteli

    Siyo kuhongeka tu ni tajiri balaa
  9. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Zitto: Tumewapa Idara ya Usalama Mamlaka ya Kukamata, Utekaji umeongezeka. Ndio maana mnasikia “Watu wasiojulikana”

    Option ni moja tu TISS ni taasisi ya kigaidi kwa sasa na haina mandatory ya kuitwa idara ya usalama wa taifa!
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Kwanini baada ya Marekani kuingilia mzozo wa Mashariki mwa Congo DRC, M23 waliingia uoga na kuachilia maeneo waliyokuwa wakiyashikilia?

    Wakuu ni kivipi hili suala, hali ilibadilika ghafla baada ya serikali ya Marekani kusaini makubaliano ya amani ambayo hapo awali yalikuwa hayaheshimiwi na wahusika? M23 wamekuwa wakishikilia kwa muda mrefu maeneo ya mashariki ya Congo DRC lakini hivi karibuni walitangaza kuondoka kwenye ngome...
  11. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Spika Zungu: Nape mambo yako yanakwenda vizuri una wajibu wa kumshukuru Rais Samia kwa kazi aliyoifanya kusini

    Bilioni 600? Kwenye miradi gani huko kusini? Asee
  12. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Baba Levo ampa siku 7 Abdul Nondo za kuomba radhi kwa kumzungumzia vibaya na asipofanya hivyo atalipa milioni 550

    Kesi rahisi sana hii kwa dogo Abdul, awatake tume walete idadi ya kura zilizopigwa na kuoneshwa uhalisia wa wapiga kura mchezo unaisha! Uchaguzi unarudiwa mchana kweupe Baba levo anataka kujichanganya oooooh
  13. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Urusi yaanza mazoezi ya kutumia silaha za Nyuklia

    Mkuu Ukraine kuna maisha nafuu kuliko hapa Tanzania tena kuwaambia watanzania waende kiev leo asilimia kubwa tunakubali offer
Back
Top Bottom