Kama hawakupata Kina Drogba, Samwel Etoo na Tou're basi hawa wa sasa hawawezi hata kuwa nominated ijapokuwa majina yao yanawekwa kwa malengo fulani ya waandaaji wa Tuzo.
Hii ishu ya Nchimbi ukiizOOm unaona kabisa iwapo litatokea jambo lolote ndani ya hii miaka 4 basi jamaa anachukua nafasi (namanisha siku CCM wakipelekewa moto na tayari dalili zipo)
Zelensk ashasema Mashirika ya ndege na bima yasitishe mara moja safari za ndege za kiraia kwenye anga la Urusi maana drones za Ukraine zitakuwa zinatembele St Petersburg na Moscow kusalimia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.