Recent content by Wakusoma 12

  1. Wakusoma 12

    Kwanini FIFA inawanyima uwana chama Zanzibar na Catalonia

    Zanzibar ni kwa sababu ya wahuni wachache waliopo huko Zanzibar na huku bara!
  2. Wakusoma 12

    Bunge la Israel, Knesset, litapiga kura, mswada uliowasilishwa na kiongozi wa upinzani Yair Lapid, wenye mada "Kuitangaza Qatar kuwa "taifa adui

    Maandishi ya pendekezo hilo ambayo yana kifungu kimoja tu, yanaifafanua Qatar kuwa "taifa adui," na inaeleza kuwa vifungu vyote vya sheria za Israel kuhusu mataifa adui, aina zote za sheria, vitatumika kwake. Chama cha Yesh Atid kinauita mradi huo "Sheria ya Urich," baada ya mshauri wa Benjamin...
  3. Wakusoma 12

    Kwa nini Mahmoud Ahmadinejad bado anaweza kuwa muhimu

    Kwa zaidi ya muongo mmoja, Mahmoud Ahmadinejad amejulikana zaidi kama mpinzani wa serikali kuliko mfuasi wake. Katika siku ya kwanza ya vita ya Iran, taarifa ya kuuawa kwa Kiongozi Mkuu Ali Khamenei ilifunika habari ya shambulio lililotokea karibu na nyumba ya Ahmadinejad, ambaye alikuwa rais...
  4. Wakusoma 12

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Maisha ni fumbo! Kwanini CCM hawataki kujifunza? Huyu mzee naye alikuwa mnaa sana. Poleni wana familia.
  5. Wakusoma 12

    Trump amedai Iran imetoa “zawadi kubwa” kwa Marekani

    Rais Trump amedai kuwa Iran imeipa Marekani kile alichokiita “zawadi kubwa sana” kupitia wajadiliana wake, akihusisha suala hilo na mafuta na gesi. Kwa mujibu wa Trump, makubaliano hayo yanahusiana na eneo nyeti la mlango wa bahari wa Hormuz, njia muhimu ya usafirishaji wa mafuta duniani. Hata...
  6. Wakusoma 12

    Je huu ndiyo mwisho wa ubabe wa Marekani na kufutwa Mashariki ya kati?

    Wiki ijayo Irani anavamiwa na infantry
  7. Wakusoma 12

    Marekani yapanga kupeleka wanajeshi wa ardhini nchini Iran

    Maafisa wa jeshi la Marekani wanafanya maandalizi ya kina wa kupeleka wanajeshi wa ardhini nchini Iran, kwa mujibu wa mshirika wa BBC nchini humo, CBS News, ikinukuu vyanzo kadhaa visivyotajwa majina vilivyofahamishwa kuhusu mjadala huo. Maafisa waandamizi wa Pentagon wanatoa maombi maalum ya...
  8. Wakusoma 12

    Misri: Klabu ya Pharco yatangaza kususia mashindano yote yanayoandaliwa na CAF

    Pharco mara ya mwisho walishiriki lini mashindano ya CAF?
  9. Wakusoma 12

    Ni kwa namna ipi unaweza kupata taarifa za kweli wakati wa vita vya nchi mbili tofauti?

    Tufanye hivi Ayatollah Khamenei na jopo lake la kijeshi hawajafa.
  10. Wakusoma 12

    Israel yasema imemuua Waziri wa ujasusi wa Iran, Esmail Khatib

    Waziri wa Ulinzi wa Israeli Israel Katz anasema Waziri wa Ujasusi wa Iran Esmail Khatib ameuawa. "Jana usiku Waziri wa Ujasusi wa Iran Khatib pia aliuawa," Katz anasema katika taarifa. Iran bado haijatoa maoni.
  11. Wakusoma 12

    Kimenuka: Marekani kuishambulia Cuba?

    Rais wa Marekani Donald Trump, amedai kuwa Cuba, ambayo kwa muda mrefu imekumbwa na uhaba wa mafuta kutokana na vikwazo, ni "nchi dhaifu," alisema anaamini ataweza "kukipata" kisiwa hicho. Akizungumza na waandishi wa habari katika White House, Trump alisema: "Katika maisha yangu yote, nimekuwa...
  12. Wakusoma 12

    Nimefurahishwa na maamuzi ya CAF kumvua ubingwa Senegal

    Mkuu nafikiri kilichofanyika kwa Senegal kutoa timu uwanjani kilikuwa kitendo cha match fixing, kuandermine timu pinzani kisaikolojia na kutafuta kuharibu kwa makusudi mchezo jambo ambalo likiachwa litaaharibu mpira wa miguu na mambo kadha. Lastly siyo kwa ubaya ila uwasilishaji wako wa hoja...
Back
Top Bottom