Chanzo cha picha,MWANANCHI
Kenya imetimiza viwango vya Marekani kuhusu uwazi katika matumizi na usimamizi wa fedha za umma, huku Tanzania ikishindwa kufikia viwango hivyo.
Hayo yamebainishwa katika Ripoti ya Uwazi wa Fedha ya 2026 iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani.
Ripoti hiyo...
Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus Tileinge Damaseb, kuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi inayochunguza waliohusika na makosa ya jinai na ukiukwaji wa sheria uliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa...
Athari za kutoshiriki kwa CHADEMA katika uchaguzi mkuu
1. Ushindani wa kisiasa ulipungua kwa sababu chama kikuu cha upinzani hakikushiriki katika uchaguzi.
2. Wapiga kura walipata chaguo chache zaidi za kisiasa, hasa wale waliokuwa wanakiunga mkono CHADEMA.
3. Ushiriki wa baadhi ya wapiga...
Baada ya kuangalia tension kubwa ya kisiasa nchini na namna tulivyofika hapa basi baada ya chama cha Mapinduzi walimu hawawezi kukwepa lawama za kuharibu Nchi.
Amani iwe nanyi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.