Recent content by Wakusoma 12

  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Brian Mundubile: Zambia sio Tanzania. Adai kuwa mbinu za kuiba kura zinazotumika Tanzania zinatumiwa Zambia kwenye Taifa la Kikristo

    Kingine katiba ya Zambia inatambua ukristo kama dini kuu ya taifa. Zambia ndiyo taifa pekee la kikiristo Afrika.
  2. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashindwa mtihani wa uwazi wa fedha wa Marekani, Kenya yapita.

    Wazungu akili kubwa soma between lines
  3. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashindwa mtihani wa uwazi wa fedha wa Marekani, Kenya yapita.

    Chanzo cha picha,MWANANCHI Kenya imetimiza viwango vya Marekani kuhusu uwazi katika matumizi na usimamizi wa fedha za umma, huku Tanzania ikishindwa kufikia viwango hivyo. Hayo yamebainishwa katika Ripoti ya Uwazi wa Fedha ya 2026 iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. Ripoti hiyo...
  4. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Ni vigumu CHADEMA kuleta mabadiliko nchi kwa sababu ya udini

    Yoda niliwahi kukuambia upotofu wako ukanijia juu sasa utakuwa ushaelewa sasa. Kuwaza tu mambo haya ni upotofu mkubwa.
  5. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Shirikisho la soka barani Ulaya UEFA chini ya Alexander Ceferin yamteua Omar Artan kuchezesha Uefa Super Cup

    Ulaya hivi vita na Trump vitawaletea shida huko mbele. Better to stay calm
  6. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Vyama vya upinzani Namibia vyapinga uteuzi wa jaji kwenye tume ya uchunguzi Tanzania

    Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus Tileinge Damaseb, kuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi inayochunguza waliohusika na makosa ya jinai na ukiukwaji wa sheria uliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa...
  7. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Rachel Dangwa hajulikani alipo

    Japani ina makundi mengi ya kihalifu baada ya Thailand kwa hapo Asia na ya kwanza kwa East ASIA. Yakuza
  8. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Botswana na Namibia ni nchi tajiri zaidi barai Afrika, msikate tamaa tunaweza!

    Tanzania inaharibika kwa ufisadi nothing else
  9. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM walifanya kosa kubwa sana kukubali kuendelea na uchaguzi mkuu bila CHADEMA

    Athari za kutoshiriki kwa CHADEMA katika uchaguzi mkuu 1. Ushindani wa kisiasa ulipungua kwa sababu chama kikuu cha upinzani hakikushiriki katika uchaguzi. 2. Wapiga kura walipata chaguo chache zaidi za kisiasa, hasa wale waliokuwa wanakiunga mkono CHADEMA. 3. Ushiriki wa baadhi ya wapiga...
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Onyo kwa watumishi wa umma TARURA Manyara

    Weka majina hadharani vinginevyo ifute hapa
  11. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Naona mwili nao umeanza kumkataa. Watanzania wamebakia na kete moja tu.....

    shoga baba yako
  12. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Walimu kama kundi kubwa lililosimamia chaguzi zote nchini wajitafakari sana. Ipo siku kitawalamba

    Kwa hiyo walichofanya ni sawa? Siku ikitokea civil war hawataamini
  13. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Walimu kama kundi kubwa lililosimamia chaguzi zote nchini wajitafakari sana. Ipo siku kitawalamba

    Baada ya kuangalia tension kubwa ya kisiasa nchini na namna tulivyofika hapa basi baada ya chama cha Mapinduzi walimu hawawezi kukwepa lawama za kuharibu Nchi. Amani iwe nanyi
Back
Top Bottom