Kabla ujaingia kwenye ndoa fanya mambo haya
Ndoa ni muunganiko kati ya mwanaume na mwanamke kuwa kitu kimoja.
Hii ni Wazo(idea) la Mungu mwenyewe alimpa Adam msaidizi wake hawa na kuwa kitu kimoja hivyo ndoa ni jambo la Mungu.
Mwanzo 2:22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu...
HUU NI UTAJIRI UNAOWEZA KUMPA MTOTO WAKO NA KUENDELEA KUKUOMBEA MAISHA YAKE YOTE KWA MUNGU.
1.Mfundishe mtoto wako kumjua Mungu kupitia matendo yako, maana watoto wanakifuata kile wanachoona kwa wazazi,
Weka utaratibu wa watoto wako waone unavyosoma bibilia, unavyofanikiwa kupitia imani yako...
Maeneo ambayo Mungu anaweza Kuzungumza na wewe.
Mungu anaweza kuongea na binadamu kupitia ishara mbalimbali na unapoelewa basi unakuwa umesikia sauti ya Mungu.
1. Kupitia ndoto, Hii ni njia kubwa ambayo Mungu utumia kuongea na wanadamu,
Mungu anatumia ndoto kutoa ufunuo wa maisha ya wanadamu...
Hupotezi watu ile wao ndio wanakupoteza wewe.
Binadamu mara nyingi utambua thamani ya mtu na ata vitu baada ya kupotea, Kama wewe ni mtu mwenye pure heart(moyo wa upendo) una toa upendo kwa watu au jamii
Mfano marafiki bila kutarajia chochote kutoka kwao na wanashindwa kuthamini mchango wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.