Zaburi 23:5
Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.
Mungu ufanya kazi katika namna ya pekee ambapo kwa macho ya haraka uwezi elewa mpaka jambo hilo litakapo kamilika.
Mungu uwapaka mafuta watu wake kwa namna ya pekee...
Matendo Ya Mitume 2:38
Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.
Roho Mtakatifu nini?
ni Roho wa Mungu anaye ishi ndani ya mtu,
Roho Mtakatifu akiwa ndani ya mtu anakuwa ni mwalimu...
Ukiona ishara hizi basi malaika wa Mungu alikuwa eneo lako
1.uwepo wa amani, Mungu utuma malaika wake kuja kukusaidia inawezekana unapitia changamoto lakini kuna amani ndani yako ambayo ielezeki .
pia muda mwengine inawezekana usiku umelala na mawazo, maumivu unamka asubuhi una amani, mawazo...
Luka 5:5
Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
Luka 5:6
Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
Hii inafundisha nini, petro na wenzake walijituma sana...
Kijana usiache kujifunza katika maisha yako.
Kwa kijana ambaye ujui uanzie wapi umesoma lakini umekosa ajira.
Kitu cha kwanza inabidi uamue kweli unahitaji kubadilisha maisha yako, ukiwa na nia ya kweli ni rahisi kuwa mvumilivu unapojifunza.
Anza kujifunza ujuzi ambao utapata ajira sehemu...
Mungu anapotaka kukuinua anakupitisha hatua 3
Maandalizi(preparation)
Hiki ni kipindi ambacho Mungu anakuwa kama yupo kimya kwenye maisha yako,
katika kipindi hiki unaweza kupitia hali ngumu ya kimaisha tofauti na wengine unajiuliza kwa nini, mimi?,
Kipindi hiki unaweza fanya kazi lakini...
Mambo haya ukifanya basi watu wataanza kukuheshimu katika maisha yako.
1.Ukimya,
Ukimya sio kwamba unaonekana dhaifu hapana,
sio kila jambo linalotokea katika maisha yako linaitaji uongee mambo mengine inabidi ukae kimya,
watu wengine wanakuchokoza ili wapate cha kuongea, unapokaa kimya...
Kabla ya Mungu kumuinua mtu umpitisha kipindi cha kutengwa(isolation)
Katika bibilia Yesu kristo kabla ajaanza hudumu ya injili alichukuliwa na malaika kwenda jangwani(isolation) na kufunga siku 40 na kipindi hicho alikuwa akijaribiwa.
Musa kabla ajanza huduma pia naye Mungu alimtenga kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.