Recent content by Wakusolve

  1. Wakusolve

    Kabla ujaingia kwenye ndoa weka mambo haya kwanza ili ndoa iwe imara na kudumu

    Kabla ujaingia kwenye ndoa fanya mambo haya Ndoa ni muunganiko kati ya mwanaume na mwanamke kuwa kitu kimoja. Hii ni Wazo(idea) la Mungu mwenyewe alimpa Adam msaidizi wake hawa na kuwa kitu kimoja hivyo ndoa ni jambo la Mungu. Mwanzo 2:22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu...
  2. Wakusolve

    Huu hapa Utajiri unaoweza kumpa mtoto wako na ata kukuombea maisha yake yote kwa Mungu

    HUU NI UTAJIRI UNAOWEZA KUMPA MTOTO WAKO NA KUENDELEA KUKUOMBEA MAISHA YAKE YOTE KWA MUNGU. 1.Mfundishe mtoto wako kumjua Mungu kupitia matendo yako, maana watoto wanakifuata kile wanachoona kwa wazazi, Weka utaratibu wa watoto wako waone unavyosoma bibilia, unavyofanikiwa kupitia imani yako...
  3. Wakusolve

    Mungu uongea na binadamu kupitia njia hizi hapa

    Maeneo ambayo Mungu anaweza Kuzungumza na wewe. Mungu anaweza kuongea na binadamu kupitia ishara mbalimbali na unapoelewa basi unakuwa umesikia sauti ya Mungu. 1. Kupitia ndoto, Hii ni njia kubwa ambayo Mungu utumia kuongea na wanadamu, Mungu anatumia ndoto kutoa ufunuo wa maisha ya wanadamu...
  4. Wakusolve

    Hupotezi watu ila wao ndio wanakupoteza wewe

    Hupotezi watu ile wao ndio wanakupoteza wewe. Binadamu mara nyingi utambua thamani ya mtu na ata vitu baada ya kupotea, Kama wewe ni mtu mwenye pure heart(moyo wa upendo) una toa upendo kwa watu au jamii Mfano marafiki bila kutarajia chochote kutoka kwao na wanashindwa kuthamini mchango wako...
Back
Top Bottom