Hello wana jf mimi nina utata kidogo na swala tunaposema wapenzi waendane nje ya tabia nahobbies wat else is most iimportant.mfani naskia wengi wanasema diamond na wema hawaendani.mbona wema ni mdogo kiumri kama ilivo sifa kubwa kwa watanzia.
NI sawa la wale wadada wenye mshahara LAKI 3 afu amepanga nyumba ya laki mbili na nusu KWA mwezi.ana Nadia.kiatu cha laki moja.handbag ya elfu 70.alafu anaomba Mungu atende miujiza.wakati ameshajitendea
SHAMBA la Ekari 4 linauzwa.
Lipo Miyuji mashariki mwa hospital ya St Gemma; limepimwa na lina hati; lipo karibu na barabara kuu, kuna availability ya maji na umeme.
Kwa watakaohitaji wasiliana na 0752403710.
mimi ni mdada nina mpenzi na tunapendana sana ila tunatumia condon.kwasasa nahitaji mtoto na huyu mpenzi hata wa kumlea mimi kama mimi.tumepanga kufunga ndoa kwa hapo baadae sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.