Recent content by wakunyonya

  1. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Hii kasumba ya mtu kutoa comment ili apate reactions nyingi huwa inawafaidisha nini?

    Watu ni kama vidole hatuwezi tukawa sawa
  2. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi Namera Group of Industries wagomea mabadiliko ya jina la Kampuni hadi walipwe stahiki zao

    Katika suala la uwekezaji Tz naona serikali inaangalia zaidi kodi kutoka kwa mwekezaji ila hushindwa kuangalia namna gani pia wananchi wana neemeka kutokana na huo uwekezaji. UKiingia viwandan huko watu wanapelekeshwa kama wanyama
  3. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Bado Siku Sita Peter Shilolile na Genge Lake Waisambaratishe Wachimba Dawa FC

    Simba na Yanga mabenchi ya ufundi(Ushirikina) yana aminika kuliko hata wachezaji unawafikiri wew
  4. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Nataman Uongozi Wa Hili Jukwaa Mfanyie Kazi Wazo Hili;

    Kitu ambacho hujakijua ni kwamba Mwafrika ana allergy na maandishi yasiyo na picha wala Video. Ndiyo maana kuna usemi unasema ukitaka kumficha mwafrika kitu kiweke kwenye mfumo wa Maandishi. Kwahyo hata ufanye promo ni kazi bure wengi wanataka social network zenye picha na video hasa...
  5. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Maisha yapo complicated Sana unakuta mabinti wanakukataa ila wake za watu wanakushobokea

    Shtuka na saiv ukidakwa hupakwi mafuta ni mwendo wa mate
  6. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Waziri wa vijana ni propaganda ya maneno sio vitendo

    Motivation speaker mzee wa nadharia
  7. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Eti wenye Pesa hawana Kelele one day ntachafukwa niwape wana JF kwa idadi ya watu 500 kila mtu 100,000, mi si tajiri Lakini

    Tajiri nidondoshee ten, nina njaa mpka nikijamba nasikia harufu ya damu.
  8. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Nakupa code; kwenye biashara yoyote ya delivery ukisikia sauti ya mzanzibari kimbia haraka

    Pemba chakechake harrier new model wanauza milion moja laki saba unatuma advance milion moja then gari ikifika unamalizia hiyo laki saba, ukifosi uifate mwenyew wanakukatia simu.
  9. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Wengi wetu Afrika hawabebeki hata ufanyaje!

    Kitu kikubwa walichofanikiwa ngozi nyeupe ni kuharibu saikolojia ya mtu mweusi yeye mwenyew ajione weak.
  10. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Huyu msanii mkubwa kuna maagano ambayo yanamtesa sana

    Vile ccm wanafurahi kuona vijana wao saa 12 asubuhi wanaongelea udaku
  11. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania ONYESHA VIDOLE VYA MKONO WAKO WA KULIA NIKWAMBIE TABIA ZAKO.

Back
Top Bottom