Recent content by wakunyonya

  1. wakunyonya

    Ipime afya ya akili yako hapa

    Kwanza kichaa hawezi kuwa na mda wa kuitazama hiyo picha,. Unaweza mwambia tizama hapa ukashangaa anacheka mbavu hana wew mwenyew ukatoka nduki
  2. wakunyonya

    KERO Ofisi ya kupokelea mizigo ya mabasi ya Happy Nation jijini Dar es Salaam si salama kwa uhifadhi wa mizigo

    Hao jamaa siyo wastaarabu kabisa niliwahi kuagiza debe la dagaa kutoka bukoba wakasema mzigo niufate ubungo nikakuta mzigo umerundikwa nje kunguru wameujalia umetobolewa kila mahala nilikosa hata nguvu ya kuchukua yaani utadhan nilisafirisha bure kumbe nimelipia.
  3. wakunyonya

    Ndoto 7 zinahitaji maombi ya haraka ya kufunga na kuomba

    Mkuu mda mwingine ndoto zinachangiwa hata na mavyakula tunayokula mda wa kulala imagine mtu anakula ugali Dona kilo moja na bakuli la maharage baada haya hapo anashushia energy na sigala kwann asiote mandoto ya hovyo.
  4. wakunyonya

    Mwafrika anatakiwa kumshukuru sana mzungu ungekuta bado yuko pangoni, msituni na sokwe huko

    Mzungu angechelewa Kuja Africa tungemfuata na kwenda kumtawala. Africa and Europe in 14 century were the some in economy and technology.
  5. wakunyonya

    Nataka kununua kiwanja Zanzibar

    Zenji wapo tayar kumuuzia ardhi msudani au mkenya lakin siyo mtanganyika, ukitaka kununua labda umtumie mwenyej yeye ndiye aonekane anainunua ila ni mbaya siku mkija kubadilikiana.
  6. wakunyonya

    Mbona NMB wana makato makubwa sana au mimi ndo sijui hesabu?

    Tena Bora hata NMB hawakuoneshi Salio lakin kuangalia bure, ila CRDB ukitaka tu kuangalia Salio 400Tsh inaondoka, yaan ni utapeli mkubwa san
  7. wakunyonya

    Njia gani rahisi ya kumfanya mwanamke akupende ?

    Jifanye shoga, huoni mwenzio Anko T anavyopendwa na wanawake!
  8. wakunyonya

    Huyu Dogo Zungu ajiangalie sana kauli zake

    Wew chawa acha kukurupuka zungu anayejadiliwa hapa siyo spika
  9. wakunyonya

    Natafuta Kazi kibarua nipo Songea vijijini

    Dogo anataka kazi ya kuokota mayai bandani
  10. wakunyonya

    Mbunge, Zanzibar: Msituletee samaki kutoka bara, sie hatuli

    Hawataki samaki waliovuliwa na makafiri😄
  11. wakunyonya

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    Hiyo hela ni kubwa sana ktk ufugaji wa kuku wa kienyeji pia hiyo hela ni kubwa sana ktk kilimo Cha mahindi, alizeti, njegere hata mpunga, kwenye kukuza mtaji usiforce kuaza na mahekta mengi unaweza kuanza hata na hekta mbili. Ndiyo maana nilikazia lazma uzingatie aina ya kilimo au ufugaji then...
  12. wakunyonya

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    Kwenye maisha usisubiri kikubwa ili ufanikishe jambo Anza na kidogo ulicho nacho ili kukipata hicho kikubwa, kwenye kilimo au ufugaji unaweza kuanza hata na laki Tano Cha msingi lazima uzingatie aina Gani ya kilimo au ufugaji unatakiwa kujiweka according of your capital. Ukisema usubiri hiyo...
Back
Top Bottom