Katika suala la uwekezaji Tz naona serikali inaangalia zaidi kodi kutoka kwa mwekezaji ila hushindwa kuangalia namna gani pia wananchi wana neemeka kutokana na huo uwekezaji.
UKiingia viwandan huko watu wanapelekeshwa kama wanyama
Kitu ambacho hujakijua ni kwamba Mwafrika ana allergy na maandishi yasiyo na picha wala Video.
Ndiyo maana kuna usemi unasema ukitaka kumficha mwafrika kitu kiweke kwenye mfumo wa Maandishi.
Kwahyo hata ufanye promo ni kazi bure wengi wanataka social network zenye picha na video hasa...
Pemba chakechake harrier new model wanauza milion moja laki saba unatuma advance milion moja then gari ikifika unamalizia hiyo laki saba, ukifosi uifate mwenyew wanakukatia simu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.