Recent content by wakunyonya

  1. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania HONGERENI SANA SINGOMAZA

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya single mother na mjane
  2. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Kwa Waislamu mke akifiwa na mume anatakiwa kukaa eda miezi 4 (siku 130), sasa itakuwaje?

    Dini zimenyooka ila watu tumejawa unafiki sijui dini yao kama inaruhusu hata mwanamke kuongoza.
  3. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Majambazi wapora fedha na kumuua wakala

    Yani laki tatu! Ndio mambo aliyosema mchina anashindwa kutuelewa kabisa ndio haya.
  4. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Huyu ndio Shee Mwaipopo wa kupiga mikwara watu

    Jamaa inaonekana bwana wake anamkamia san mpka kashamtegua na nyonga
  5. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kupata watoto mapacha?

    Njoo inbox kuna mti unaitwa mpachapacha huo uhakika kaka
  6. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania KERO TANROAD,Hizi Taa Zitasababisha Ajali.

    Upeo wa Mwafrica sio wakuongozwa na mataa wanaforce tuu.
  7. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Ofisi za serikali zinaweka namba ambazo hazipatikani, Nilishasema tangu zamani Miafrika inashida fulani sio bure

    Kama hao NIDA qummke hizo ofisi wanajikubali sana.
  8. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania HII NI HABARI YA KWELI HAINA UONGO HATA KIDOGO😭😭😭

    Aise! sasa tunafanyaje kaka
  9. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania China yaanzisha utaratibu wa kuwasherehekea wanasayansi kwenye mbao za matangazo

    Tumuunge mkono sa100 kumfukuza nchimbi alikuwa sahihi kabisa
  10. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu mwenye miguu kama hii haruhusiwi kujiunga na jeshi ?

    Mpka mikono au miguu tu
  11. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Afande Sele achukizwa wasanii kuunganishwa na wenye tuhuma za Ushoga kwenye Wito wa Waziri Katambi

    Hataki kuunganishwa na wazee wa jicho la tatu
  12. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Gigy Money Waziri Katambi alitupa elfu 50 za kula. Aendelee kutuita tu kila wiki

    Basi akina shekhe mwaipopo watalamba laki laki huko
  13. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Hapa mjini, kupata maziwa pure ambayo hayajaongezwa kitu ni kama bahati ya mtende😃

    Na ukiwa poyoyo utauziwa mpka maji ya mchele. Ila dasalama!
  14. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Nadili vipi na huyu mzungu msumbufu asietaka kulipa deni langu.

    Inaonekana ulimwamini kwasababu ni msungu nadhan ingekuwa ni ngozi ya tako mwenzio usingemwamin kabsa.
  15. wakunyonya

    JamiiForums Tanzania Nawauliza tena watu wa Dar es salaam hivi kweli Sheta ni meya wa Jiji la Ilala aka Dar es salaam?

    Huyo sheta na ndugu yake dogo janja sijui kama wanayajua hata majukumu yao ila ccm
Back
Top Bottom