Hao jamaa siyo wastaarabu kabisa niliwahi kuagiza debe la dagaa kutoka bukoba wakasema mzigo niufate ubungo nikakuta mzigo umerundikwa nje kunguru wameujalia umetobolewa kila mahala nilikosa hata nguvu ya kuchukua yaani utadhan nilisafirisha bure kumbe nimelipia.
Mkuu mda mwingine ndoto zinachangiwa hata na mavyakula tunayokula mda wa kulala imagine mtu anakula ugali Dona kilo moja na bakuli la maharage baada haya hapo anashushia energy na sigala kwann asiote mandoto ya hovyo.
Zenji wapo tayar kumuuzia ardhi msudani au mkenya lakin siyo mtanganyika, ukitaka kununua labda umtumie mwenyej yeye ndiye aonekane anainunua ila ni mbaya siku mkija kubadilikiana.
Hiyo hela ni kubwa sana ktk ufugaji wa kuku wa kienyeji pia hiyo hela ni kubwa sana ktk kilimo Cha mahindi, alizeti, njegere hata mpunga, kwenye kukuza mtaji usiforce kuaza na mahekta mengi unaweza kuanza hata na hekta mbili.
Ndiyo maana nilikazia lazma uzingatie aina ya kilimo au ufugaji then...
Kwenye maisha usisubiri kikubwa ili ufanikishe jambo Anza na kidogo ulicho nacho ili kukipata hicho kikubwa, kwenye kilimo au ufugaji unaweza kuanza hata na laki Tano Cha msingi lazima uzingatie aina Gani ya kilimo au ufugaji unatakiwa kujiweka according of your capital. Ukisema usubiri hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.