Recent content by Wakumwamba

  1. W

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie TV, redio, home theater, pasi, majiko soundbar na vingine vingi kwa bei ya store

    Inches za tv/desktop/laptop hupimwa diagonally. Yaani kutoka upande wa juu kushoto mpaka upande wa chini kulia au upande wa kushoto chini mpaka kulia juu.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda, kauli yako ya kufunga Shule ni kama imedharauliwa au haijasikika. Chukua Kipaza Sauti

    Ni kweli kabisa mkuu! Ni kweli kabisa mkuu uyasemayo. Mimi nina mtoto wangu kidato cha nne ni bora zaidi abaki shule kuliko nyumbani. Mimi kama mzazi nikitoka asubuhi kwenda kazini narudi jioni, itakuwa kuwa ngumu kujua nini anafanya ndani ya masaa hayo 12.(mimi na mama yake tunatoka asubuhi na...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda, kauli yako ya kufunga Shule ni kama imedharauliwa au haijasikika. Chukua Kipaza Sauti

    Naomba kurudia, ukiona mwanao anahitaji hayo uliyoyaorodhesha kamchue hawatomng'ang'ania. Halafu hapo mwisho unamaanisha mimi ni kilaza?
  4. W

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda, kauli yako ya kufunga Shule ni kama imedharauliwa au haijasikika. Chukua Kipaza Sauti

    Kamchue mwanao hawatakuzuia. Mimi wangu atabaki shule!
  5. W

    JamiiForums Tanzania Likizo kwa wanafunzi iwe ni lazima

    Ukiona hutaki mwanao afuate hizo program kamchukue hawawezi kumng'ang'ania!
  6. W

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii picha ya huyo kijana alieeditiwa Kama nyani/sokwe haifai kuwekwa/share na mtu mwenye utimamu wa akili
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kijerumani: Lugha yenye fursa

    Fursa
  8. W

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa Chuo cha LITI Morogoro sio sawa kwa watoto maskini

    Kila kitu/sehemu inautaratibu wake! Kama hawajalipa Ada ni haki yao kufukuzwa. Umaskini wao hauhusiki na taratibu za chuo. Ulitaka mkuu wa chuo afanye nini ikiwa hajalipa ada? Umaskini ni mbaya sana kila kitu unaona unaonewa!
Back
Top Bottom