Recent content by Wakufoji

  1. Wakufoji

    Msisitizo! Hakuna kipaji (inborn ability), mtu huwa na uwezo wa kitu fulani baada ya kuzaliwa

    haya ndiyo madhara ya kukwepa elimu za kiroho. jibu lilikua rahisi tu ungekua umebobea kwenye elimu ya nyota na unajimu. wewe hapo umetumia mtazamo wa kiakili za kibinadam tu huwez kupata jibu sahihi. binadam wote ni sawa elewa hivyo ila tumegawanyika kimakundi kadhaa hasa kwakutegemea mda wa...
  2. Wakufoji

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    uchawi hushikika mkuu kama unadawa au kama unauwezo wa kuudhibiti.
  3. Wakufoji

    Je, kuna mtu yeyote aliyewahi kushuhudia na kuthibitisha uchawi? Njoo tuongee hapa!

    kijijini kwetu tunauonagasiku wanapo utoa .yaan mchawiakisha julikana wanautoa uchawiwake na kuuchoma. Hua ni vitu vya kawaida mfano chupa ila hua ina vikwa ndevu shangaau heleni au bangili na chupa ilehua inauwezo wa kukimbia pia huainakunywa damu inamdomo yaan. ..ni zinakimbiagaserious sawa...
  4. Wakufoji

    Nilichokiona usiku wa leo, msaada wenu wanaJF

    mm nilikuagana sali kisha wakijanawaona huku nipo macho unaonakabisa watu wawilehao wanaingia room ila ni gizani na unawaona kama ni mweupe au mweusi ilasura hawajulikanag . Lamhimu uwe unasali mkuu utakuaga salama.
  5. Wakufoji

    Nilichokiona kwenye kioo mida hii saa sita kasoro usiku

    watu kama nyinyi mnao puuza mambo ya ukiroho kutoboa maisha msahau.
  6. Wakufoji

    Nilichokiona kwenye kioo mida hii saa sita kasoro usiku

    sikunyingine uwageuna fanyahivi . Kwa upolenaunyenyekevu sali . Sali kwa jinalolote tu unaloamini kua litakusikia . Saligi kuomba uwe salama kisha toa hofu jiamini. Kioo kichawi ni sawa na cctv camera wanatumia kuona pale kilipo sawa na cctv hivi. Uchawi upo mkuu Swalani ni kusali tu hatakama...
  7. Wakufoji

    Kuna faida nyingi kiuchumi kwa mwanaume kuchepuka

    ndugu yangu hicho kichwa hakipo sawa. siyo bure. Jali ustaarabu pesa wazitafute kwa kujishughulisha na kazi. uchumi gani wakati mwanaume anafilisi familia yake anapelea kwa mchepuko. unakuta maisha kwake hayapo sawa pesa za kuhudumia familia anapelekea michepuko yake....ndo uchumi unao uongelea...
  8. Wakufoji

    Uwepo wa nephilim (viumbe vya kiroho kutoka kuzimu katikati ya wanadamu duniani, viumbe hivi vimeji disguise kama wanadamu ila ni maroho ya kuzimu

    Baada ya kumtaja YESU tu nikaipuuza post yako hauna ukijuacho wewe kwenye ukiroho. Inaonekani ni mfia dini wew. Watu wa ukiroho huwez wakuta wakifungamana na Dini yeyote.
  9. Wakufoji

    Miaka 5 ya Samia madarakani ametekeleza miradi mikubwa mingi kuliko Rais yeyote wa kabla yake

    mbona shule za kata kule kwetu hua wanachangisha kwa wananchi. Lakinipia hua wanashiriki kusogeza mawe na tofali. au wewe unaongelea kata za huko kwenu?.
  10. Wakufoji

    The U.S. has authorized the release of $6 BILLION in frozen Iranian funds

    kwahiyo bwanamkubwa kiswahili haujui kabisa au unataka tujue kua unajua kingereza. kwamba hivyo vineno vichache tuumeshindwa kuvitafsiri ukaweka kwa kisahili ?.
  11. Wakufoji

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Ungejua duniainaelea angan ungejiongeza .. kwa mtazamo wako huo utatuambia jua nalo nitambalale mwezi piani tambalale. Akili huamnazipeleka wap kwan mda wa kudadavua mavitu ? .. yaan kitu kielee angani nina mwanzo na mwisho sasa kuatambalale tu inamaanaimekaa kamasimu yakoilivyo kaa au ...
  12. Wakufoji

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Kweli hata kichaa hua hajitambui kua yeyeni kichaa JAAYETU HAPO WEWE NI KILAZA HUNA ULIJUALO. Hivi haujui kua mwezi nao umebebwa na dunia sawa na sisi tulivyo bebwa ? ... Hii inamaana dunia kila inapo sogea namwezi nao unaifuata ...hivyo ukiwa mwezini huwezi gundua kama dunia inajongea .... ILA...
Back
Top Bottom