Recent content by Wakufoji

  1. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Mtu unanuka njaa, bado unataka watu wakupigie simu. Ili iweje?

    mleta mada hawata kuelewa. mimi nilikaa miaka mitano bila kuwasiliana na wazazi kisa bado najitafuta. hata kwa mpenz wangu nikiwa sina hela simsumbuagi hata kumgusa tu hadi niwe na pesa hapo narudi na mahaba kama yote.
  2. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Kama Unataka Kunila Si Useme Tu Usizunguke?

    hakuna kitu ninachokichukia kama binadamu kua na mpenzi zaidi ya mmoja au mtu kubadili kiholela washirika wa ngono. nachukiaga sana.
  3. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kumuacha huyu mwanaume, au ni mvumilie huku naumia ?

    Aise ! baba yangu yupo kama huyo mmewako. mama anapambana anafanya biashara kwakujihangaikia. mzee anabeba pesa kwenda kuhonga michepuko yake. yaani baba ndiye huongoza kumpiromosha mama kiuchumi. nihatari sana kua na mme wa kihivyo. ni wajinga sana mzee wangu namchukiaga sana familia...
  4. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Sabasaba: Kama una Mafaili yako mtandaoni, yahamishe yawe "Offline"

    halafu hao mawatu yanayowaza kuandamana yanakera. kutuharibia harakati za maisha binafsi. ( wanahangaikia uongozi utadhan wana malaika wanae taka kumweka madarakani yaan hawajui kua kiongozi yeyote ni lazima atakua na mapungufu tu. ).
  5. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Unaweza kutofautisha Ukimya na Jeuri?

    watu wakimya hua tunasalimja na tunaupendo sana kwa kila mtu. nikiulizwa hua najibu ila kiufupi sana labda niwe na mood nzuri hapo nitaongea sana hasa kama nipo na nilie mzoea. kuulizwa na kukaa kimya labda nikiona jibu lina ukakasi nakaaga kimya kabisa.
  6. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    wanaume wa hivyo tupo mkuu. mm mwenyewe miongoni usione kama ni maajabu kisa tu wewe hauko hivyo.
  7. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Nashauri usije ukajiroga ukapenda Mnyarwanda. Nilimpata Ughaibuni ni matatizo matupu

    si umesema ni pacha ya hii ?. ni rahisi tu copy maneno ya mwanzoni ka pest fb search itakuja. Acheni kujitungia mambo mtu amesema ni story yake. Wewe ukiona anadanganya jifunze la kujifunza kisha kausha. lamhim jali elimu na burudan yako inatosha.
  8. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Moja ya Kampuni ya Simu yatuhumiwa na Niffer kuiba bando(MBs) Nchini Tanzania

    yaani haujui hata kukagua matumizi ya bando yako ?. sim imalize bando ulaum mtandao wako.
  9. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    hongera mkuu umejitahidi sana.
  10. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

    dunia nzima washindwe kugundua athari za wifi ?. wangesha kua washagundua kitambo sana. hebu mjaribu kutafuta google kwanza. { ila kwangu imeniambia hamna athari }
  11. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Ni yapi Madhara ya WiFi (wireless network) kiafya?

    ila hahata kufikiria kwa mda mrefu hupelekea kichwa kuanza kugonga upande mmoja. kwahiyo uchunguz unafaa uwe ni wa kitaalam zaidi.
  12. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Cashout 2.3M, au 18.6M? Nishaurini

    mh !.
  13. Wakufoji

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukila chakula cha mchana kabla ya saa sita tumbo huanza kusumbua kwa kuleta kiungulia ?

    Hivi kwa nini kula chakula cha mchana kabla ya saa sita hupelekea tumbo kushikwa na kiungulia ?.
Back
Top Bottom