haya ndiyo madhara ya kukwepa elimu za kiroho.
jibu lilikua rahisi tu ungekua umebobea kwenye elimu ya nyota na unajimu.
wewe hapo umetumia mtazamo wa kiakili za kibinadam tu huwez kupata jibu sahihi.
binadam wote ni sawa elewa hivyo ila tumegawanyika kimakundi kadhaa hasa kwakutegemea mda wa...
kijijini kwetu tunauonagasiku wanapo utoa .yaan mchawiakisha julikana wanautoa uchawiwake na kuuchoma. Hua ni vitu vya kawaida mfano chupa ila hua ina vikwa ndevu shangaau heleni au bangili na chupa ilehua inauwezo wa kukimbia pia huainakunywa damu inamdomo yaan.
..ni zinakimbiagaserious sawa...
mm nilikuagana sali kisha wakijanawaona huku nipo macho unaonakabisa watu wawilehao wanaingia room ila ni gizani na unawaona kama ni mweupe au mweusi ilasura hawajulikanag . Lamhimu uwe unasali mkuu utakuaga salama.
sikunyingine uwageuna fanyahivi . Kwa upolenaunyenyekevu sali . Sali kwa jinalolote tu unaloamini kua litakusikia . Saligi kuomba uwe salama kisha toa hofu jiamini. Kioo kichawi ni sawa na cctv camera wanatumia kuona pale kilipo sawa na cctv hivi. Uchawi upo mkuu Swalani ni kusali tu hatakama...
ndugu yangu hicho kichwa hakipo sawa. siyo bure. Jali ustaarabu pesa wazitafute kwa kujishughulisha na kazi. uchumi gani wakati mwanaume anafilisi familia yake anapelea kwa mchepuko.
unakuta maisha kwake hayapo sawa pesa za kuhudumia familia anapelekea michepuko yake....ndo uchumi unao uongelea...
Baada ya kumtaja YESU tu nikaipuuza post yako hauna ukijuacho wewe kwenye ukiroho. Inaonekani ni mfia dini wew. Watu wa ukiroho huwez wakuta wakifungamana na Dini yeyote.
mbona shule za kata kule kwetu hua wanachangisha kwa wananchi. Lakinipia hua wanashiriki kusogeza mawe na tofali. au wewe unaongelea kata za huko kwenu?.
kwahiyo bwanamkubwa kiswahili haujui kabisa au unataka tujue kua unajua kingereza.
kwamba hivyo vineno vichache tuumeshindwa kuvitafsiri ukaweka kwa kisahili ?.
Ungejua duniainaelea angan ungejiongeza .. kwa mtazamo wako huo utatuambia jua nalo nitambalale mwezi piani tambalale.
Akili huamnazipeleka wap kwan mda wa kudadavua mavitu ? .. yaan kitu kielee angani nina mwanzo na mwisho sasa kuatambalale tu inamaanaimekaa kamasimu yakoilivyo kaa au ...
Kweli hata kichaa hua hajitambui kua yeyeni kichaa JAAYETU HAPO WEWE NI KILAZA HUNA ULIJUALO.
Hivi haujui kua mwezi nao umebebwa na dunia sawa na sisi tulivyo bebwa ? ... Hii inamaana dunia kila inapo sogea namwezi nao unaifuata ...hivyo ukiwa mwezini huwezi gundua kama dunia inajongea .... ILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.