Ulitaka pesa ya usajili akatoe wapi? Yeye na wanachama wa Simba na wadhamini+ mikataba ya mbet na mengineyo wanaweza...
Mudi akitoa deni linaongezeka tu, hujasikia mudi anataka ela anazotoa ziandikwe madeni na alipwe au zigeuzwe mtaji wake Simba...
Mudi kakaa ki bizness Zaidi....faida yeye tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.