Recent content by WAKO WAPI WATU WAKO

  1. WAKO WAPI WATU WAKO

    Namtafuta Mama Yangu popote alipo

    Hauna tatizo la akili kweli..!!?
  2. WAKO WAPI WATU WAKO

    Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. WAKO WAPI WATU WAKO

    Kuna wabaya wa Simba wapo nyuma ya Mangungu?

    Ulitaka pesa ya usajili akatoe wapi? Yeye na wanachama wa Simba na wadhamini+ mikataba ya mbet na mengineyo wanaweza... Mudi akitoa deni linaongezeka tu, hujasikia mudi anataka ela anazotoa ziandikwe madeni na alipwe au zigeuzwe mtaji wake Simba... Mudi kakaa ki bizness Zaidi....faida yeye tu...
  4. WAKO WAPI WATU WAKO

    Maoni ya Mdau: Simba igawanywe mara mbili

    Uwanja wa Bunju (Ardhi) walipewa kwa msaada wa Kikwete...Mo anawatapeli tu. Mzee Kilomoni anajua vizuri.
  5. WAKO WAPI WATU WAKO

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Alitukanwa lini? na nani? Kutukana si ni kosa la jinai? Kuna aliyekamatwa kwa hayo matusi...? Unaelewa matusi au unajiandikia tu.
  6. WAKO WAPI WATU WAKO

    Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

    Mo anaongea kuhusu Timu yake huko Instagram.....ni Mali yake
  7. WAKO WAPI WATU WAKO

    Farhan: Siku ya mwisho career ya Fei itakua judged kwa vikombe na Tuzo Binafsi

    Jifunze kwa Harry Kane, dada angu,,, ndio maana anatapatapa Buyern Munich kusaka makombe.... Pesa bila makombe au tuzo ni umalaya tu.
  8. WAKO WAPI WATU WAKO

    Uongozi wa Simba SC nitengeeni Bilioni 2 tu kisha mtumeni Mtu aniltee hapa Kampala niwafanyieni Usajili wa kuwa Bingwa wa Makombe yote 2025

    Labda huko kizimkazi...huo msimu ni Mwaka wa uchaguzi Bingwa ni Yanga. Hili nalo ulielewe.
  9. WAKO WAPI WATU WAKO

    TFF onesheni makucha yenu kwa Feitoto

    Kwani yale ni mashindano yanayosimamiwa na ZFF... tumia akili kidogo.
Back
Top Bottom