Recent content by Wakibe

  1. Wakibe

    Mkwamo wa kiuchumi kuendelea na masomo yangu, msaada tafadhari

    Ndugu wakaribu hali yangu wanaijua...msaada wao ni kidogo mnoo kiuwezo. Mfadhiri ndo halikua kila kitu
  2. Wakibe

    Mkwamo wa kiuchumi kuendelea na masomo yangu, msaada tafadhari

    Wapendwa mimi ni kijana wa miaka 27, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM kitengo cha computer (UCC) Mlimani campus, nikichukua Diploma in ICT muhula wa pili. Ni mzaliwa wa Wilaya Missenyi, Mkoa Kagera. Nachukua fursa hii kuomba msaada kwenu ndugu kwan nimekwama katika safari yangu ya kutafuta...
  3. Wakibe

    Alhaji, Bunazi Kagera

    Katunga, Kayemba, Kagasha au Gabulanga?
Back
Top Bottom