Wakibe
Member
- Sep 26, 2018
- 5
- 4
Wapendwa mimi ni kijana wa miaka 27, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM kitengo cha computer (UCC) Mlimani campus, nikichukua Diploma in ICT muhula wa pili. Ni mzaliwa wa Wilaya Missenyi, Mkoa Kagera.
Nachukua fursa hii kuomba msaada kwenu ndugu kwan nimekwama katika safari yangu ya kutafuta elimu. Ukwamaji wangu umetokana na mfadhiri wangu kutetereka kiuchumi, kwani nimetokea katika familia maskini ambayo aina msaada wa kunipa tofauti na wao kubakia na majonzi baada ya aliyekua msaada kwangu kukwama.
Jamani naomba msaada wenu kwani bado nina mapungufu makubwa katika ada ya chuo pamoja na matumizi binafsi. Nimeripoti chuo alhamisi 11/06/2020 kutokana na matatizo haya. Nimemuelezea course coordinater kanielewa kanipa wiki tatu niwe nimamaliza.
Jamani kwa yeyote mwenye mawazo ata uwezo naomba anisaidie. 0752015710
Nachukua fursa hii kuomba msaada kwenu ndugu kwan nimekwama katika safari yangu ya kutafuta elimu. Ukwamaji wangu umetokana na mfadhiri wangu kutetereka kiuchumi, kwani nimetokea katika familia maskini ambayo aina msaada wa kunipa tofauti na wao kubakia na majonzi baada ya aliyekua msaada kwangu kukwama.
Jamani naomba msaada wenu kwani bado nina mapungufu makubwa katika ada ya chuo pamoja na matumizi binafsi. Nimeripoti chuo alhamisi 11/06/2020 kutokana na matatizo haya. Nimemuelezea course coordinater kanielewa kanipa wiki tatu niwe nimamaliza.
Jamani kwa yeyote mwenye mawazo ata uwezo naomba anisaidie. 0752015710