Inauma sana jinsi tulivyo na viongozi wasiojali watu wao,ukweli niliwaonea huruma watu wa maeneo ya pwani,kuna jamaa yangu amenunua shamba maeneo ya jaribu,jaribu ni mpakani mwa wilaya ya Rufiji akaniambia niende nikaone akawa ananitembeza shambani kwake,mikosho ilikuwa haijafanyiwa usafi wala...
Habari ndugu zangu na wana familia wa jf,naomba kuufahamu nchi maarufu kwa uzalishaji wa korosho barani Afrika,nauliza kwa maana kuna mtu alishawahi kuuliza kwanini wakazi wa Pwani ni masikini?.Nilikuwa maeneo ya mkoa wa pwani hivi majuzi kama ifahamikavyo kuwa zao la biashara la mikoa ya pwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.