Tatizo lenu nyinyi chadema ni kudai talaka na bwana bado mukali mtaka sasa mushaachwa mnapiga kelele sanaa.
Mutakua na lipi litakalo fanywa na Zitto au ACT likawafurahisha?
Poleni ndio kuachwa uko .
Tatizo lenu nyinyi chadema ni kudai talaka na bwana bado mukali mtaka sasavmushachwa mnapiga kelele sanaa.
Mutakua na lipi litakalo fanywa na Zitto au ACT likawafurahisha?
Poleni ndio kuachwa uko .
lusungo kama unaona kuachana nalo hilo suala ndio suluhisho utakua pombe zako hazijatoka kichwani.Ushauri wangu washauri wagaratia wenzako waachane na mambo yasiyo wahusu.
Ushabiki mwengine wa kijuha kweli.
Sasa Tundu ndie mtu pekee anaejua sheria ktk ilo bunge?
Na nini alichokifanya leo hii hadi kuwa kiroja hapa ukumbini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.