Recent content by WAITARA

  1. WAITARA

    Amon Mpanju:Tume ya Jaji Warioba haikuongozwa na Weledi

    Amon na mwenzake ni wachumia tumbo na hakuna haja ya kupoteza muda wa kuwasikiliza.
  2. WAITARA

    Magufuli ni muongo

    Hakuna sababu ya kwenda Wizarani wakati anataja miradi mbona ilikuwa wazi?ni ujinga kudhani kwamba kama kuna mtu anafagiliwa na watu hatuwezi kuhoji madhaifu yake.ni ujinga pia kama utaweka mapenzi ya kizembe kwrnye hoja ya maisha ya watu.
  3. WAITARA

    Magufuli ni muongo

    Kwenye bajeti ya Mwaka 2014/2015 Waziri Magufuri akisoma bajeti hiyo alisema kwamba atajenga barabara ya Banana Kitunda,Kitunda Kivule na Kivule Msongola kwa kiwango cha lami.lakini hadi naandika hapa hakuna kilichofanyika na Ikonga kuna Mbunge Mwaiposa na Meya Jerry wamekaa kimya na sasa...
  4. WAITARA

    Mei Mosi, sikukuu ya watumwa Tanzania

    hivi madereva nao ni wafanya kazi au ni vibarua?
  5. WAITARA

    Mbowe awatia moyo watia nia ya kugombea wasio na pochi nene.

    Siku ya uzinduzi wa Mafunzo ya Wana Chama na viongozi yaliyofanyika katika uwanja wa P.T.A Temeke Mhe.Mbowe alisema kamati kuu anayoiongoza itafanya uteuzi wa wagombea kwa kuzingatia sifa na wala si pochi ya mgombea ni nene kiasi gani.Kauli hii thabiti ya kiongozi wangu huyu imewatia moyo...
  6. WAITARA

    Vincent Nyerere m/kiti mpya CHADEMA mkoa wa Mara

    Mwenyekiti wa CCM mkoa wa mara si Makongoro Nyerere,alishindwa katika uchaguzi.
  7. WAITARA

    Vincent Nyerere m/kiti mpya CHADEMA mkoa wa Mara

    Baada ya zoezi la uchaguzi wa mkoa wa Mara kusimamishwa hatimaye jana ulifanyika.Mimi niliyekuwa miongoni mwa wagombea sikugombea kwa kuwa nilimwamini mh. Vincent Nyerere kwamba kazi ambayo nilitaka kuifanya anaimudu. Katika uchaguzi wa jana wagombea walikuwa watatu na matokeo ni kama...
  8. WAITARA

    Vincent Nyerere m/kiti mpya CHADEMA mkoa wa Mara

    mhe vincent nyerere kura 40 mhe king haile kura 30 mhe patrobas ademba kura 1 kwa kura hizo mhe vincent nyerere alitangazwa kuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa mara.
  9. WAITARA

    Siasa ya Jerry Silaa Ukonga kiaina

    Juzi katika kata ya Kitunda lilizinduliwa Kombe la Marembeka mgeni rasmi alikuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF. Kwa maelezo ya waliohusika inaonekana mwenye Kombe ni Mhe.marembeka Diwani wa kata ya Msongola. Huyu ni diwani kata nyingine na hata kata yake haina kombe ila ameleta kombe kitunda tena...
  10. WAITARA

    Mchakato wa katiba na mkwamo wake

    Leo kuanzia muda wa saa mbili usiku hadi saa tatu na nusu usiku nitakuwa kwenye kipindi cha Mchakato wa Katiba Mlimani Tv. Critical Thinkers wote mnakaribishwa tujadili pamoja hapa ndipo mahali pake. Kwa umuhimu wa Katiba kwa taifa na watu wake naomba tujumuike ili kujadili na kisha kwa...
  11. WAITARA

    Utafiti wa miezi sita Kuhusu Ubunge Mkoani Mara.

    Nimesoma hiki kinachoitwa utafiti.Mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Mara na pia nina uelewa wa utafiti.Ni watu wangapi walihojiwa ,nani kafanya utafiti,je hicho chombo kimesajiliwa na kutambuliwa kisheria?,je huyu alikuwa na malengo gani kufanya hii kazi?fedha ya kufanya kazi hii imetoka wapi?sasa...
  12. WAITARA

    Kashindye, aliyekuwa mgombea ubunge Igunga adaiwa kuitosa CHADEMA

    Wana jamvi leo asubuhi nilisikia habari za kashindye kuiacha Chadema kwenye gazeti la udaku la uhuru.Kwa sababu mimi ndiye nilikuwa Mratibu wa uchaguzi mdogo Igunga ambao alikuwa mgombea niliguswa na habari hizi.Leo saa 17.55 nimempigia simu Kashindye ili kujua ukweli wa jambo hili.Kwa kauli...
  13. WAITARA

    Wasomi wakutana Karimjee, waazimia kuifuta CHADEMA Vyuo Vikuu

    wasomi hao ni wapiwanafunzi au maprofesa?mtu ambaye aki faeli leo anakuwa mtu wa sekondari?hata hivyo mbona kuna sura za mablozi wa ccm na Vijana wa GreenGuard?
  14. WAITARA

    Hizo kazi maalum za Prof. Mark Mwandosya ni zipi?

    Kwa maoni yangu si tu Wizara ya Mwandosya ambayo haina ulazima bali ni nyingi ambazo zilipaswa kuwa idara tu za serikali.mfano wizara za Wassira,Lukuvi hizi ni idara tu,Mary Nagu na Kigoda na nyingine nyingi kwa ufupi serikali hii dhaifu ya ccm inakula fedha za umma na kulipa fadhira za mafisadi...
  15. WAITARA

    Katibu Mkuu wa CCM, Kinana na timu yake wavitikisa viwanja vya Sokoine, Igunga.

    kwa taarifs nilizo nazo ni kwamba watu wengi walibebwa kama kawaida ya ccm kutoka vijijini.Nape alisema wao Ccm hawatakimkatiba na kwamba ile ya Bunge la katiba ilikuwa ni geresha tu.Katika msafara huo wa ccm yalitumika magari ya serikali na kwa maana hiyo kwa maoni yangu ni makosa kwa sababau...
Back
Top Bottom