"Moja ya mapungufu ya dini ya ya kikristo ni kuruhusu kuoa mke mmoja"
Hayo NI maneno ya Padre mmoja akisuluhisha mgogoro wa ndoa.
NI kosa kubwa kwenye dunia hii kutoelewa asili ya mwanaume kwa mwanamke,unapoingia ondoa mawazo ya kujimilikisha ikitokea yeye kubaki wako pekee hiyo NI bahati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.