Recent content by wadadu

  1. W

    Taarifa: Kitimoto yaadimika siku ya Idd

    Unapozungumzia neno haramu una maana gani?
  2. W

    Msaada Toyota rush inanipasua kichwa

    Braza najifunza vitu vingi sana kupitia nyuzi zako. 🙏 mimi mwanafunzi wa umeme wa magari. UBARIKIWE SANA
  3. W

    Kusema kweli Mimi Sijui biashara za Mbowe anazosema zipo ndani na nje zaidi ya Bilcanas ya zamani. Anayejua atutajie

    Kuna mtu alisema Ana mashamba ya kahawa yaliyoajiri karibu 2000+ watu huko kilimanjaro
  4. W

    Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

    Siwezi kukupinga ndugu yangu. Ila kwa mazingira ya Tundulisu tunaweza kuamini kutokana na harakati alizokuwa akizifanya pamoja na matamko ya hayati magufuli akisema anataka kuhakikisha anafuta upinzani. sasa kwa stori ya hayati mkapa kunyimwa kibali bado nipo njia panda, kama raisi anaweza...
  5. W

    Kutoka kitabu cha Kabendera: Mohamed Dewji alipotekwa alikuwa anapelekwa Benki jioni baada ya wafanyakazi wengine kutoka

    Mimi nilivyoelewa si kwamba familia ya mkapa haikuwa na uwezo wa kwenda South afrika kwa ajili ya matibabu, ila tatizo ni hayati magufuli alikataa kutoa ruhusa ya hilo kutokea. Swali la kujiuliza ni kwanini magufuli akatae kutoa ruhusa kwa hayati mkapa kwenda kutibiwa South Africa? Mkapa...
  6. W

    The dark side of business

    Mkuu waarabu ni watu wa wapi haswa? Naomba nijifunze
  7. W

    Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

    mimi wakuu nilikuwa naomba ile speech ya Donald Trump raisi mteule wa marekani akiongelea kuhusu watu weusi.
  8. W

    Inauzwa bei gani?

    Hapana mkuu si ya umeme. Kanatumia mafuta. Pia pikipiki hizi bei yake ni 2.5 mpaka 3 ina range humo. Na ni kwa sababu ya fuel consumption yake. Kama sikosei full tank ni elf13 na kama ni mtu wa route chache basi unaweza kutoboa mwezi. Ni pikipiki nzuri kwa uchumi wa watu wa Chini
  9. W

    Mimi ni mwanafunzi Ufundi wa umeme wa magari. Changamoto nilizoziona mpaka sasa

    Braza ni kweli unayoyazungumza. Maisha ya gereji ni magumu sana kama una moyo mwepesi huwezi kutoboa. Mimi nina rafiki yangu kila wakishusha gearbox lazima abaki na alama za kujikata. Hongera sana braza. Msichoke nitakua nikiwauliza vitu tofauti tofauti.
  10. W

    Mimi ni mwanafunzi Ufundi wa umeme wa magari. Changamoto nilizoziona mpaka sasa

    Mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako. Japo sijajua sana kuhusu veta ufundishaji wao. Lakini ninachompendea mwalimu ni mtu anakuacha unafanya. Lakini pia nafikiria nitakapoendelea kujua zaidi mbeleni niende vets ili nipate vyeti kabisa officially.
  11. W

    Mimi ni mwanafunzi Ufundi wa umeme wa magari. Changamoto nilizoziona mpaka sasa

    Habari wanajamii forums wote. Mimi ni kijana umri miaka21 nilianza kujifunza ufundi umeme wa magari mwezi wa tano mwishoni mwaka huu. Kiukweli nilikuwa napenda sana magari tangu awali, na aliyenivutia jamaa jirani yetu nilipokuwa nikiishi awali. Ni fundi mzuri sana ni mtu wa arusha. Siku moja...
Back
Top Bottom