Recent content by Wachukucha2

  1. W

    Algeria kuwakosa nyota wake wa Porto na Valencia

    Mungu ibariki tz ,mungu ibariki taifa stars
  2. W

    Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

    Umeongea vizuri lakin umesema neno moja tu kuwa watanganyika makafiri hvyo ni kweli makafiri?
  3. W

    Kuchaguliwa kwa Magufuli, Gasi yetu imeponea chupuchupu

    Mm naichukia sna ccm but tatizo tulichokosea ukawa kumpa majukumu mgombea aliyetemwa na ccm kuiwakilisha ukawa(chadema)hapo ndo tulipokosea ni bora tungemuacha doctor slaa ktk kupambana na ufisadi na imani ccm wangechemka lkn kwa ss tujipange upya 2020
  4. W

    Kazi yangu CCM imekwisha, sasa narudi ACT kuunda serikali 2020-25

    Hahahahaha😨😨😨😨😨
  5. W

    Ligi Kuu ya Vodacom kuendelea kesho

    Mkuu simba mfungaji nani
  6. W

    Ligi Kuu ya Vodacom kuendelea kesho

    Matokeo ya simba wadau
  7. W

    ZEC yaanza kutangaza Matokeo ya Kura za Urais Zanzibar

    Mkuu unatudanganya kwahani ccm wamechukua bhana tena hussein mwinyi ndo aliyegombea ubunge tiketi ya ccm na ameshinda ww hayo matokeo umeipata wapi
  8. W

    Maana halisi ya neno 'NIMECHINJA TAYARI' kama linavyotumika siku ya leo.

    Leo nimemaliza kazi baada ya kusikiliza sera za wagombea nimepata hitimisho na uelekeo wa taifa langu la tz mungu ibariki tz amani ndo msingi wa maendeleo yetu
  9. W

    Morogoro - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Kilombero,ifakara ndo nyumbani nawatakia uchaguzi mwema na amani kabisa tutambue tu kuna maisha baada ya uchaguzi AMEIN
Back
Top Bottom