Recent content by WachaWocha

  1. WachaWocha

    Wizara ya habari yafafanua jinsi ya Kurusha Maudhui ya Nje ya Nchi (Miziki&Habari) kuanzia saa 11 alfajiri - saa 3 usiku

    Ni uamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Ifike wakati watanzania tujifunze kupenda chetu kwanza, Muziki wa nyumbani ukikubalika wanamuziki wa nyumbani watanufaika sana. Hii itapelekea kuja kutengeneza majina makubwa ikilinganishwa na nchi za Afrika magharibi kama Senegal -Youssou ndour, Mali - Selif...
  2. WachaWocha

    Wizara ya habari yafafanua jinsi ya Kurusha Maudhui ya Nje ya Nchi (Miziki&Habari) kuanzia saa 11 alfajiri - saa 3 usiku

    Ni uamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Ifike wakati watanzania tujifunze kupenda chetu kwanza, Muziki wa nyumbani ukikubalika wanamuziki wa nyumbani watanufaika sana. Hii itapelekea kuja kutengeneza majina makubwa ikilinganishwa na nchi za Afrika magharibi kama Senegal -Youssou ndour, Mali - Selif...
  3. WachaWocha

    Tanzania to Be Center of African Liberation Heritage

    You guyz need to be serious sometimes. Haven't you seen the cruciality of this topic mpaka mnaingiza hii upuuzi ya wahutu... INAWEZEKAKA wwe jamaa ni mmoja kati ya wale wasiojulikana, imekuwaje unamuita huyo mvaa kanzu muhutu ingali wengi tunajua huyo bwana ni wa hapa hapa bongo?. Ama ni siri...
  4. WachaWocha

    Nape: Wananchi wanauliza Bomberdia ndio nini?Sisi wa vijijini tunafaidika nayo vipi?

    Nimecheka sana baada ya kuona comment yako, Jforums Ni kiboko
  5. WachaWocha

    Vijana turudi vijijini tununue ardhi ya kilimo

    Uk Ukweli bila change
  6. WachaWocha

    Raila Odinga: Hakuna kufanya ngono usiku kabla ya uchaguzi, tutafanya baada ya matokeo kutangazwa

    Dat's the sound of police...... Mungu epusha majanga Kwa majirani zetu
  7. WachaWocha

    SHAME: Mawaziri wawili Kenya waugua kipindupindu!

    haaa haaa haaa! Wakenya katika ubora wao
  8. WachaWocha

    Kukamatwa kwa Dkt. Mashinji na Viongozi wengine wa CHADEMA: Maoni ya Dkt. Slaa

    Siku zote,mbabe hupigwa kwa njia zisizohusisha ubabe.Hivyo ndivyo ilivyo kanuni ya maisha (Law of compensation). Tujifunze kwa Daudi na Goliath.Magufuli ni mbabe.Hatuwezi kumkabili kwa ubabe.Hivyo ndivyo anavyosema na kushauri Dokta.Tutumie sheria kumkabili,hicho ndicho anachokishauri...
  9. WachaWocha

    Kukamatwa kwa Dkt. Mashinji na Viongozi wengine wa CHADEMA: Maoni ya Dkt. Slaa

    Huu ushauri kwanini haukutolewa kipindi yupo Chadema.... Kwangu mimi huyu jamaa ni mnafiki tu. Sina chama so far
  10. WachaWocha

    Tundu Lissu: Sielewi kwanini Ngeleja hajakamatwa na Polisi

    Lisu yup sahihi kabisa isipokuwa asiweke double standards yanapowakuta wana UKAWA
  11. WachaWocha

    Tundu Lissu: Sielewi kwanini Ngeleja hajakamatwa na Polisi

    You have a very big point mkuu
  12. WachaWocha

    Uhasama bungeni: Jumuiya ya wabunge wakatoliki yavunjika

    Bahati mbaya naona kanisa lina mchango mkubwa katika hili.
  13. WachaWocha

    Zambia to ship Kenya’s maize by rail

    Am very disappointed by reading this comment of yours, i use to think that most of you Kenyans are intelligent unfortunately you proved me wrong. you could have got mahindiz from Tanzania for a very cheap price, underestimation yenu kwa sleeping Giants (Bongo-amkas) imepelekea kutuingizia fedha...
  14. WachaWocha

    Nauza laptop HP Pavilion Entertainment

    miambili hamsini hapa!
Back
Top Bottom