Recent content by wachawi watu bundi mtumwa

  1. W

    Mchumba, mpenzi na baba wa baadae

    Hayo masharti Sasa hata mganga wa kienyeji ana unafuu, unatamfuta mume unaweka vigezo kama vya usaili wa KAZI je ukiolewa SI utakuwa kama mkurugenzi ?
  2. W

    Ni muda gani inapaswa mwanaume akupeleke kwake baada ya kuanza naye mahusiano?

    Ukiona mwanaume hajakupeleka kwake Kwa muda hata wa miezi 3 jua huna SIFA ya kuwa mke! Maana kama mnaweza kufanya mapenzi walau mara 3 Kwa wiki huko lodge jiulize mtakuwa mnatumia shs ngapi Kwa mwezi iwapo tuchukulie minimum lodge ni shs 20,000/ Bado Kuna kula na expenses nyingine wakati geto...
  3. W

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Nilishawahi kuwa na mahusiano na single mother takrinani 3 aisee wote nilipiga CHINI yaliyoongelewa na mtoa Uzi ni kweli Kwa asilimia karibia zote 100! Single mother hata kama mumewe ni marehemu Bado Huwa wanamkumbuka
  4. W

    Uchambuzi: Nini Maana ya Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Sekretarieti, Mkutano Mkuu?

    Kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), muundo wa uongozi wa Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Mkutano Mkuu, na Sekretarieti umewekwa rasmi kupitia Katiba ya CCM. Huu hapa ni ufafanuzi wa muundo huo kwa mfano wa CCM: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Maana: Kamati Kuu ni chombo cha juu cha...
  5. W

    Uchambuzi: Nini Maana ya Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Sekretarieti, Mkutano Mkuu?

    Haya ni maelezo ya kiufupi kuhusu Kamati Kuu, Halmashauri Kuu, Mkutano Mkuu, na Sekretarieti ya vyama (hususan vyama vya siasa nchini Tanzania): Kamati Kuu Maana: Kamati Kuu ni chombo cha juu cha maamuzi ndani ya chama cha siasa, kinachoshughulika na utekelezaji wa maamuzi ya Halmashauri Kuu...
  6. W

    Wanaume mnajua mna matatizo

    Ukiona mwanamke anakuharakisha umuoe achana naye kabisa , anaepanga muda wa kuoa ni mwanaume na sio mwanamke! Mwanaume anapotaka kuoa anazingatia mambo mengi sana na anakuwa ameamua Kwa moyo wote sio shinikizo la mtu, ndoa ni MAJUKUMU na sio Lele mama mwanaume anapokwambia umsubiri Kwa Nini...
  7. W

    Nina Miaka 27 lakini watu wananiona kama mzee

    Tuwekee kwanza picha Yako mkuu kama hutojali
  8. W

    Kama Kuna msaada wa kiimani ama kisaikolojia naomba tafadhari kabla sijachanganyikiwa

    Asante kwa kushiriki hadithi yako kwa uwazi na uaminifu. Maisha yako yamekuwa na changamoto nyingi, na ni kawaida kuhisi kuchanganyikiwa au hata kuamini kuwa unakumbwa na laana au karma kutokana na matukio ya nyuma. Hata hivyo, nataka nikupe mtazamo wa uhalisia na kukusaidia kuelewa kuwa bado...
  9. W

    Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio kwenye usafiri wa umma

    Kipindi naishi Tandika na nilikuwa nafanya KAZI maeneo ya ubungo miaka ya 2003 mpaka 2005 hivi ile asubuhi magari yalikuwa yanajaza sana Yaani unakuta mwanamke anakubinulia tako kabisa na vile nilikuwa Bado kijana Yaani nilikuwa sivungi nalibambia haswa gari likidundadunda kwenye Barbara yenye...
  10. W

    Mjadala: Mwanza Vs Dar Es Salaam. Nani ni mfalme wa majiji Tanzania?

    Sema wewe hujui dar unatafuta tu umaarufu, hakuna sehemu iliyoendelea Kwa Kila kitu hapa Tanzania kama Dar , Dar ndio Tanzania , hakuna sehemu yenye maisha mepesi KUISHI kama dar ,ukishindwa KUISHI dar huwezi KUISHI popote
  11. W

    Ndugu naomba ushauri akili imestack

    Kati ya wanaume mafala wewe ni mama yao
Back
Top Bottom