Recent content by Wabhukabha

  1. W

    Nape amjibu Lissu: Kama CHADEMA mnachukia ufisadi, mfukuzeni Lowassa

    FISADI NI MTU ANAYETUMIA NAFASI YAKE KAZINI KWENYE TAASISI ZA UMMA KAMA VILE SERIKALI, BUNGE, MAHAKAMA, MAKAMPUNI YA UMMA NA CCM KUIBA MALI YA UMMA. KWA HIYO HIWEZI KUWA FISADI NJE YA VYOMBO HIVYO ILA UTAITWA MWIZI. NAPE KUMWITA LOWASSA FISADI HAMTENDEI HAKI. CCM IN CHAMA CHA KIFISADI KWANI...
  2. W

    Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

    nguvu za soda, ushoga utakwisha oktoba ambako kila mtu atakuwa na lake
  3. W

    UKAWA PAWAKA: Mazungumzo ya Siri Yakijadili Nafasi ya Urais Yanaswa!

    Ccm wanajaribu kutengeneza mgogoro ukawa kwa wastani wanamwogopa slaa, kama ni mgogoro zitto ana hamad rashid na 2010 lipumba na slaa wote waligombea
  4. W

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Unafagilia wenzako wewe je? Ni aibu kujidhaurisha mbele ya wenzako ama ndio kanga/kofia aliyokuonga?
  5. W

    Mahakama ya Kadhi: Tanzania inaanza kuvuna matunda ya kuikataa historia ya kweli

    Mtoa mada hajaeleza ni huduma gani mahakama ya kadhi inatarajia kutoa ili serikali ipate kuwalipa ukilinganisha na huduma za afya na elimu zitolewazo taasisi za kikiristo mahakama ya kadhi lengo lake ni kutekeleza baadhi ya sheria za kiislamu na sio kuhudumia watanzania kwa ujumla. Fungueni...
  6. W

    Ushauri kwa waislamu Tanzania, hasa walio mtandaoni

    waislamu tukazane kufikiri, tunajiaibisha kuangukia wakiristo watusaidie kuanzisha mahakama ya kadhi uwezo mnao tatizo kubwa ni kukosekana taisisi ya juu kuratibu masuala ya uislamu nchini. Bakwata kimebaki kuwa chombo cha ccm na ccm ikifa bakwata nayo itakuwa chali kwani 100% inategemea ccm...
  7. W

    Suala la ESCROW Tupunguze Too Much Sensationalism na ku Dramatize, BOT Did The Right Thing!

    bot a third party in the escrow arrangement and one of the remaining parties-tanesco are public institutions therefore if there is any misconduct in handling that arrangement and a loss is sustained who is going to suffer if not the tax payers. Secondly, why it appears things are handled in a...
  8. W

    DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

    familia ni seti na memba ni baba, mama na watoto. Mmoja katika seti hiyo anahusika katika seti hiyo.
  9. W

    Dkt. Bilal akutana na Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya mabadiliko ya Katiba,Serena Jijini Dar es salaam.

    Hivi serikali ina maana gani mbona nasikia kuna serikali ya mtaa, serikali kuu, serikali ya jimbo na kadhalika. Unaposema serikali tatu ama mbili una maana gani? Nasikia kuna serikali ya tanganyika-refer to any title certificate, serikali ya zanzibar, na serikali ya muungano. Naomba jibu lisilo...
  10. W

    Majibu ya Ikulu juu ya tuhuma za UKAWA kuhusu Mkakati wa kutumia Media kwa kampeni ya kura ya NDIYO

    the issue is if there are two parties why only one party use public funds and the other one use own resources. I don't think that statement came from ikulu if it is true the country is finished and only geneva is solution.
  11. W

    Amon Mpanju: Wamenipiga huku wakijua mimi sioni macho

    pole mpanju, huna budi kufahamu haki ni kwa wote kwa matonya na kwa makonda. Kwa matonya ukifumba macho na makonda ukiona kuna siku itakurudi. Indicators zote za machafuko zinaonekana lkn watu wanafumbia macho na wao yatawakuta. Tanzania imekosa k/viongozi tupo sisi wachumia matumbo hali...
  12. W

    Utafiti: Wanachama wengi wa CHADEMA ni watu waliokata tamaa ya maisha

    tupe takwimu to substantiate your claim eg. Dodoma the stronghold of ccm is more advanced than arusha-the stronghold of chadema and vice versa. What you show is only known to yrself
  13. W

    Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

    nashindwa kuelewa jukumu la polisi ni nini, pamoja na kuua, kuwa mahakama? Tanzania iko kwenye hari ya hatari kiasi mtu akiuwawa mahakama haziusiki?
  14. W

    Dr. Banna: UKAWA sio chama, hawawezi kuweka mgombea Urais

    chadema, cuf, na nccr-mageuzi (a.k.a ukawa), dr. Banana haiwezekani? Nadhani hiyo shule ulikariri tu. Mbona chama cha mapinduzi (a.k.a ccm) unakubali? Ccm ni registered?
Back
Top Bottom