Binadam wanasahau hakuna mwenye dhamana ya uhai hasa wakiwa ndani ya madaraka wanalewa.Hakuna ajuaye kesho yake wala mwisho wake.kifo ni kifo na ugonjwa sio kifo.
Du Tanzania bado sana alienda sokoni bure Kikwete angetimiza matakwa ya wananch Lowasa angefuata nini sokoni kugerezea tu ndio umeona ni jambo la msingi mhh
Labda mmngewauliza wanaoachana kila siku na wanaokimbia ndoa kila kukicha kunani kwenye hizo ndoa.nani wakumshangaa aliyekimbia au ambaye hajaingia kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.