Recent content by wa kibondemaji

  1. wa kibondemaji

    ANAOMBA USHAURI WA KOZI YA KUSOMA

    HUYU KIJANA NI CLINICAL OFFICER MUAJIRIWA, ALISOMA CBG AKAPATA DIV 2 YA 12 mwaka 2016 ANAOMBA USHAURI AKASOME KOZI IPI KATI YA HIZI 1;Bach of land management and valuation 2; bach of project planning and management 3; bach of health sysytems in monitoring and evaluation 4; Bsc in data science...
  2. wa kibondemaji

    Kusoma BSc. Phamarcy ukiwa ni Clinical Officer

    Soma vizuri uelewe nilichoandika
  3. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Hatari sana aisee kika sehem ina changamoto zake
  4. wa kibondemaji

    Kusoma BSc. Phamarcy ukiwa ni Clinical Officer

    Yeye hatak kusoma kuajiriwa maana tayar ana ajira yake serkalin mwak wa 4 sasa, anatak kusoma kwa malengo yake binafsi tu
  5. wa kibondemaji

    Kusoma BSc. Phamarcy ukiwa ni Clinical Officer

    Ugejua yuko in serikalin mwaka wa 4 sasa, usingesema hivo
  6. wa kibondemaji

    Kusoma BSc. Phamarcy ukiwa ni Clinical Officer

    Habari wana JF, Nina rafik yangu alisoma CBG akapata division II ya 12, baada ya hapo akaenda kusoma clinical medicine akapata GPA ya 4.2. Sasa anaomba msaada je akitaka kusoma Bsc pharmacy itawezekana kwa hivyo vigezo tajwa hapo juu?
  7. wa kibondemaji

    Kusoma sana ni uoga wa maisha na umburula pia

    Ukiona mtu anawasema sana wasomi ujue yeye hana vigezo vya kuendelea na elimu 🤣🤣🤣
  8. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Watu wana mbinu nying san za kupata hela
  9. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Kiukweli inafikirisha sana, nimejaribu kufanya reseach ndogo watu wanadai kuwa wizi wa kishirikina huwa upo maeneo hayo lakin pia kuna baadhi ya mabadiliko nimeyaona kwa mwenzangu huenda alikuwa anatafuta hela ya mtaji kupitia mimi kwa sababu kabla ya hapo hakuwa na chochote.
  10. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Ni kweli na kuna vitu nimeanza kuviona
  11. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Ni kweli bro, m pia nimejua kuwa kanipiga na sio kwamba nimefany kilimo online bali ni muingiliano tu wa majukumu ika nimejifunza kitu maan ndo ilkuw mara ya kwanz kujaribu kilimo
  12. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Dah yan nimetoa hela nying sana zaid ya 2.5m
  13. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Dah binadamu sio wa kuwaamini ,nimejifunza sana
  14. wa kibondemaji

    Je, Mpunga umeibiwa Kimazingara: Ukweli au Tamaa?

    Habari wana JF, Nimeleta uzi huu kwenu ili nipate msaada wa mawazo. Kuna rafiki yangu wa muda mrefu zaidi ya miaka 15 ambaye alinishirikisha kuhusu kilimo cha mpunga huko Tabora. Nilipokea wazo hilo na tukakubaliana kushirikiana. Tulikodi ekari 8 na kufanikiwa kupanda mpunga. Japo muda mwingi...
Back
Top Bottom