Recent content by wa katikati

  1. W

    PCCB: Kesi ya UKWEPAJI KODI ya Lake Oil imekamilika, tumewapa miezi 2 kulipa bilioni 8.5 kwa umma

    bado na Kaka yake Edha Awadh au Overland carriers. Magari mengiiiiiiiiiii kumbe hawalipi kodi. Hapa kazi tu!. Wanafunga watu tu sasa zamu yao kufungwa.
  2. W

    Msaada vitabu vya ngugi vya 'shetani msalabani' na 'matigari'.

    Jamaa msaada wa vitabu hivyo mwenye navyo, copy yeyote ila Hardcopy itakua bora zaidi. Shetani Msalabani na Matigari. Mwenye nacho naomba aeke namba yake iwe rahisi kumfikia au atumie yangu 0712 28 75 92, nashukuru.
  3. W

    Tanzania yatengwa rasmi na nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika Mashariki ( EAC )

    jikumbusheni na uzi wa MTIKILA na makala ya Joseph Mihangwa(RaiaMwema) kuhusu ajenda za Museveni na Kagame wakiwa zao Gisenyi.
  4. W

    Nape: CHADEMA wamepewa fedha na wazungu kuvuruga mchakato wa katiba

    Juzi CHADEMA walipolalamika kuhusu baloz wa China yeye akapga porojo zake paleee af Wizara ya Mambo ya Nje wakasema balozi wa China amekiuka mkataba, kwahyo mwambieni aendeleee kuwakusanya wale wa KIJANI na NJANO kwenye mikutano yao.
  5. W

    Kumekucha Madawa ya Kulevya: Kina 'Masogange' wawataja waliowatuma!

    KAMA UMESHNDWA KUJIAMINI HAPA, UTAJIAMIN WAP?, na UDAKU wako!.
  6. W

    hiki kiswahili cha RICK ROSS sikielewi

    yan mi cjaelewa, iyo STACK ndo SITAKI au?.
  7. W

    Museveni kusuluhisha mgogoro kati ya Tanzania na Rwanda

    mi nakumbuka walisema eti Rwanda na Uganda haziitaki Tanzania Kongo!.
  8. W

    Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

    afu inaezekana jamaa alijiasahau......
  9. W

    FIB Tanzania (special forces in Congo) yaichukua ngome kuu ya M23!

    hawa c wanafanya mazoezi hawa jamani?!, kuna pcha moja inaonesha yale MASHANGINGI kwa nyuma yamepaki, au na mashangingi nayo ya KIVITA, au hz pcha hazkulenga kwenda sawa na HABARI?, kwamba wanaume KAZINI?.
  10. W

    Bima ya Afya

    maduka hayo yako wap na wap mzee, inawezekana tukafa na kadi ndani kwa kukosa taarifa, orodhesha kama unayajua mzee.
  11. W

    Umemsikia Robert Mugabe!?

    wake anaupga na ULANZI, basi burudaaan wajamaa wanaipata LISHE YA MGONGO(feedbck) yake!.
  12. W

    Mwanafunzi atekwa huko moshi na kufanyishwa ngono kwa siku nne...!!

    mixer kamwambia utashnda moja kat ya zile nyumba 3!, af kwa kuchek iyo pcha kwa mbaaali anaonekana ashatanuka, co mtoto uyo.
  13. W

    Eti jeneza la huyu linafunguliwa kwa rimoti

    na wabongo tupendavyo kushuhudia/kuhakk hamna ata kideo, mh!
  14. W

    Umemsikia Robert Mugabe!?

    sema inaezekana BABU Mugabe anakula mambo mjue!.
Back
Top Bottom