Nakubaliana na weweee asilimia zote...wazee wa Mkoa huu wanafuraha sana kuliko wote,,na ni jamii ambayo kila nyumba yenye familia INA MTU aliye nje ya Mkoa...Kilimanjaro inaongoza kuwa ni mile twaweza it's INTERNAL DIASPORA,,na Mkoa huu hujengwa na remittances kutoka sehemu zingine kwa hiyo...
Mheshimiwa yupo anapiga kazi balaa,,amewaunganisha wananchi wanatekeleza ilani ya CCM hana shaka yoyotee...ni mmojawapo wa akina mama wenye uwezo mkubwa sanaa na wasio na kashfa yoyote...
Michael Katembo alikuwa kiboko na utani wake kwa makabila,,siku moja alicheza ngoma ya Kichaga kabla haijaisha vizuri akawafukuza eti hawajui kucheza wawahi wakafungue maduka huko wawaachie ngoma Wamakonde na wenyewe kabla ngoja haijaisha akawatanai eti amechovya tonge moja la ugali mwenye...
OOOH!! POLENI WANA FAMILIA,,SHETANI NI MUUAJI TANGU MWAZO,,,AMEMUONDOA MAMA YETU MAPEMA LAKINI HAWEZI MSHINDA MUNGU MILELE YOTE...MUNGU AWAPE SUBIRA WANAFAMILIA WOTE NA PIA AKUPE NGUVU Mhe.RAIS UPATE NGUVU URUDI KUTUTUMIKIA,.AAMEN.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.