Recent content by Vunjabei1990

  1. V

    JamiiForums Tanzania Toka Mkurugenzi Mkuu TPA bwana Kakoko kufukuzwa kazi, Bandari imedorora sana

    Kama vp na ww toroka kwenu ukimbilie US nafikiri ni rahisi tu?
  2. V

    JamiiForums Tanzania Swali kwa TRA kuhusu makato ya kodi kwa wafanyabiashara waliopo VAT na Non VAT registered

    Hivi kwa mfano anauza zaidi 100m na bidhaa nazouza hazina VAT mfano gas ya kupikia hapo makadirio yanakuwaje?
  3. V

    JamiiForums Tanzania Daraja la Tanzanite kufungwa kuanzia Januari 2, 2023 mpaka Januari 9, 2023

    Kwann hamkuweka hyo nembo wakat wa ujenz mnakuja sasa hiv kuleta usumbufu ambao hatuna tija?
  4. V

    JamiiForums Tanzania Tanzania mtu ana Kodi mkononi anahangaika kuilipa

    Ni kweli kaka wa apaswa kukutumia control number ktk simu na si kwenda kupanga folen kila baada ya miez mitatu
  5. V

    JamiiForums Tanzania Kama ni wewe utaamua nini kwa huyu rafiki yako?

    Namshusha tu fasta ili akapande range ya wanaume
  6. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mume wa mtu niliyezaa naye watoto watatu amefariki na ameacha mali nyingi, nifanyaje kudai haki za wanangu pasipo Mume wangu kujua?

    Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Back
Top Bottom