Recent content by VULFRIDA KESSY

  1. V

    JamiiForums Tanzania Updated List: Haya ndio makabila yenye wasomi zaidi Tanzania

    KWENYE HII THREAD LAZIMA WAHAYA WAGOME
  2. V

    JamiiForums Tanzania Zitambue Sifa/Tabia Kuu 10 za Mwanaume Wa Kihaya hapa Tanzania

    na wana wivu na ubinafsi,,halafu wanaume wa kihaya jmn wana midomo na ni wale watu wasiomaliza kitu,,wanasimanga sana yaan n basi tuu popote ulipo we muhaya wa somebody MUNGU AKUUMBUE
  3. V

    JamiiForums Tanzania Maisha: Changamoto za kuzaa nje ya ndoa

    hivi nyie wanaume mbona mnachukuliaga hivyo mambo simple? na kuhalalisha zinaa kiasi iko??una mitamaa yako ya mwili unashindwa kujicontrol unatoka nje ya ndoa halaf kirahisi kachukue mwanao ulee ampelekee mke halali sio??ingekuwa mm n mke wa huyo jamaa sitak kuona kiumbe yeyote kwangu jmn...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Fahamu ugonjwa unaoitwa 'Kila' unaweza kuua mtoto na baba bila kujua

    huo ugonjwa n wa nyanda za juu kusini,,huku kaskazn kwetu chuga mbona hatuzzijui izo mambo
  5. V

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hampendi mtoto wangu niliyempata kabla ya ndoa

    Mimi mwenyewe niko kwenye ndoa ya dizain iyo mwanaume alizaa huko na aliwah niambia nina mtoto nilimjib sawa mamaake si yupo ndio.hatukuwah negotiate kwmb nitaletewa nikae nae na hapo ni maamuzi eidha nikubali ama nikatae.basi sikuiz mwanamke kila saa na kila siku n cm na kutaka matumiz...
  6. V

    JamiiForums Tanzania Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Nyie mnashauri apige chin lkn hamna kitu kigumu km kuachana especially kwny ndoa. Ataenda kwao wataachana lkn anawaeka watoto hao wngn kwny mateso,jamaa anaeza amua kuoa tena mwanamke mwngn ili amsaidie kulea atese tena wanae.cha msingi n kutulia tu na ndoa zetu tuepushe madhara ya baadae kwa...
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kuzaa Watoto nje ya ndoa, hutokea tu bila kujua

    Na mm namshangaa hajui anajifungia mafanikio yake
  8. V

    JamiiForums Tanzania Changamoto mnazozipata mlioa au kuolewa na wenza wenye watoto

    watu wanachukulia kawaida ila n ngumu,,kwnz ukimkubali tuu kesho analeta mwngn maana ww n mrahisi na unaonaga n sawa tu
  9. V

    JamiiForums Tanzania Changamoto mnazozipata mlioa au kuolewa na wenza wenye watoto

    nachoweza kusema n kwmb hili n zoezi gumu hawa wanaosema inawezkn hayajawah kuwakuta na wngn ndo ma single father/mama ndo wanatakaga kurahisisha mambo achen tuu
  10. V

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako ndio mji wenye nyumba na Makazi bora Tanzania

    kiufupi kama hujawahi jua mkoa unaoongoza kwa mataahira na vichaa ni nyanda za juu kusini esp. njombe hunidanganyi kokote mpk kidegembye nimekaaa,,hamna kijiji yoyote njombe siijui na kila nikipita vichaa wawili au watatu hapo mafinga na makambako wako wa kumwaga,,uzuri nimesoma mafinga shule...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Mkoa wa Njombe hasa mji wa Makambako ndio mji wenye nyumba na Makazi bora Tanzania

    kiufupi nilichojifunzaga jamii forum ikiletwa maada yoyote kuhusu maendeleo sijui nini na nini maada zote inaishiaga kubaki mchagga anabishana na watu,,na kiufupi makabila mengi kwa tafiti zangu za haraka hawawapendi wachagga...siku zote awali ni awali,,mm nafaya issue za research...
  12. V

    JamiiForums Tanzania Arusha, Kilimanjaro, Kagera na Mbeya yote ni mikoa ya baridi lakini kwanini watu wake wanatofautiana?

    jmn mm ni wa kaskazn na ni mweupe niliwah kuwepo huko njombe, mbeya hadi rangi ilififia niliporudi kila mtu alinishangaa kwa nn umebadilika,,nadhan baridi / hali ya hewa ndio inachangia,,
  13. V

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wa mikoa ya Mbeya, Iringa na Njombe wengi wao ni weusi sana?

    hapa ni kwl kabisa..huku kaskazn kwetu watu wengi tunakuwa sio weusi kwa sababu baridi ya huku kwnz haina upepo,,haiumizi ngozi km ya huko kusini,,pia unyevu na baridi ni nyepesi kiasi kwmb ngozi zinakuwa soft na nyororo..hiyo ndio saabu kuu baridi la huku lina unyevu sio km huko njombe...
  14. V

    JamiiForums Tanzania Kati ya Iringa Mjini na Moshi Mjini, mji gani unakua zaidi?

    kila mkoa hapa tanzania una sehem kame na ziliomea kwa knjaro moshi mjin napo sio kwmb n pakame sana la hasha,,n jografia tu lkn walioko ndio wameshndwa kutunza ile kijani,,same ukienda arusha, king'ori monduli, katiti kukame,,mjini pabichi,,nenda mbeya ileje sijui wap huko songwe kukame mjin...
Back
Top Bottom