Recent content by VUA GAMBA VA GWANDA

  1. V

    NCCR MAGEUZI wako makini kuliko CHADEMA

    Huo mvuto unaouona umepotea ni wewe na baba yako lakin chadema hawezi kupoteza mvuto eti kwasabu ya kuwajibisha viongoz wa juu wenyekutaka chama kisiwe na mvuto. Chama imara hakifumbii macho ujinga. Ya kufumbiana macho yako uko kwenu CCM.
  2. V

    Mhe. Mbowe azidi kuimarisha msingi wa Chadema kanda ya Ziwa

    Imani yangu kubwa ipo kwa mh. Mbowe ktika kuimarisha chama na naamimi tutashinda. Twende kaz huko Tabora dr. anaendelea na kaz ya kukiimarisha chama changu nikipendacho.
  3. V

    Wafungwa wa Kitanzania waliokamatwa na madawa ya kulevya Hong Kong wafunguka!

    Mmi naona kwamba sasa Tanzania hatuna serikali inayoweza kufanya kazi na kuaminisha wananchi kwamba kweli tuna serikali makini. Mimi nizungumzie swala la MADAWA YA KULEVYA a Ka Unga , hiv nikweli kwamba serikali imeshindwa kusimamia uadilifu mpakat tunadhalilika kiasi hiki? Madawa haya yanapita...
  4. V

    Umeme vijijini: futuhi wametoa point ya msingi

    Umeme vijijin ni ndoto ya mchana kwa kuwa na yenyeww ni kama ahadi zingine zilizotolewa na serikali hiihi ambazo hazijatekalezwa tangu 2010. Hapo tu nikufunika kombe ili mwanahalam apite.
  5. V

    Zitto Z. Kabwe nani kakunyamazisha?

    Zitto bado anatafuta data za uhakika maana sio mtu wa kukurupuka.
  6. V

    Rasilimali na siasa za watawala.

    Kumekuwapo na utumiaji vibaya wa rasilimali za nchi yetu ambapo siasa imekuwa ikitumika kuliko ukweli wa uhalisia, mi ningeomba katiba mpya itamke kuwepo na uwazi katika mikataba itakayo sainiwa na viongoz mbalimbali ili kujilidhisha na rasilimali zitakazo tumika na kipato kitakacho kuwa...
  7. V

    Katiba isichakachuliwe

    Maombi yangu naomba katiba isifanyiwe siasa kama siasa zinavyofanyika kwenye mambo ya msingi sana kama vile uwaz wa serkali na kutoa maisha bora kwa kila mwanachi. Endapo katiba itafanyiwa siasa maisha yetu watanzaia yataharibika zaidi ya sasahivi na kufanya viongoz waharibu tunu za wanacnhi.
  8. V

    Uchaguzi huru na wa haki

    Nini tufanye ili kuepusha migogoro na lawana ambazo kwenye chaguzi zetu hutokea ni bora iwepo tume huru ambayo itasimamia uchaguz kuliko hii ambayo ipo na wakati mwingine inajihusisha na udanganyifu wa kula. Ningependekeza Katina mpya itambue tume huru ili kuondoa udanganyifu unaofanyika wakati...
  9. V

    Ccm na hali ya kisiasa

    Chama hiki kimeshika dora miaka mingi iliyopita, lakini kwa sasahivi kinaonekana kutopendwa na wananchi wengi kutokana na kukosekana kwa utawala bora unajenga haki na masilahi sawa kwa wote.Mi nishauri tu kwamba ccm na serikali yake ikae chini ijitadakari upya nin cha kufanya ilikurudisha hadhi...
  10. V

    Tanzania na siasa za leo.

    Ni dhahili kuwa Tanzania ya mwaka 1hali964 na ya 2013 ni tofauti sana katika hali nzima ya kisiasa na utumishi wa umma, zamani katika serikali kulikuwepo uwajibikaji kwa viongoz na watwaliwa hali iliyobaki sasa hvi katika medani za siasa ni kujinufaisha kwanza kisiasa haliinayofanya utawala...
  11. V

    Ombi langu kwa mheshimiwa Chenge

    Kama alivyodai kuwa alifanya utafiti na kujilidhisha kwamba tozo la shilshiling 1000 hata mwananchi wa hali ya chini anaweza kumudu kuilipa kwa kila mwezi, tunaomba aweke hadhalani wapi alifanya utafiti huo na wadau mbalimbali walioshiriki isiwe anatuuzia mbuzi kwenye gunia. Ila kama ni...
Back
Top Bottom