Recent content by vtuko

  1. vtuko

    Kuwa Makini: Kuna Matapeli huko Instagram wanaodai kuuza iPhone na Smart TV etc wakidai wapo Pemba au Zanzibar

    Na mimi nimeingia mtandaoni nimekuta jamaa 1 anauza LG smart inch 65 kwa 800,000 nawaza apa je ndio bei yake? nisije choma nauli mpka zanzibar wazoefu wa mtandao tafadhari msaada.
  2. vtuko

    Msaada, changamoto ya bawasiri

    Pole sna mkuu mm mke wng alipona kwa dawa ya 30,000 tuu kuna dawa nilinunua pale msikiti wa vetenari teneke 0754212553 uyu jamaa anadawa nzur sna unafuu unapata baada ya siku tatu matokeo utayaona
  3. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    Kama unahitaji mkuu profile hii apa kama ni mtu binafsi tunakubaliana na kuandikishiaba mkatabaa na kama n kampeni tunakutumia quotation according to your needs.
  4. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    Hi hapa boss wng
  5. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    Sawa boss wng angalia attachment mkuu
  6. vtuko

    Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Nahitaji main na coin ya 1 VD na ring
  7. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    80k boss per day
  8. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    Hii boss hatutoi bila self drive kwa gari hii boss wng
  9. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    80k tu boss wng
  10. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    Gari yoyote mkuu!! Ww tuu
  11. vtuko

    Tunakodisha magari nafaha general enterprises

    Habari wana jamiiforum. Tumesajiliwa kama kampuni ya kukodisha magari. Tunakodisha magari aina zote makubwa kwa madogo kwa ajili ya Taasisi,harusi,msiba, na miradi mikubwa kwa midogo kwa bei nafuu sanaa karibuni sna. Kwa mahitaji ya gari yoyote tafadhari Contact nime attache profile ya...
  12. vtuko

    Naomba msaada wa tiba ya muwasho sehem za siri

    Tafta limao kata na upake sehem ya muwasho kama ni fangasi itakata ndan ya siku 2 tuu paka asubh na jion ukilala
  13. vtuko

    CAG aweka wazi mbinu chafu za kujipatia fedha isivyo kihalali ndani ya Shirika la Bima la Taifa

    CAG AWEKA WAZI MBINU CHAFU ZA KUJIPATIA FEDHA ISIVYO HALALI NDANI YA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA Katika ripoti ya CAG (2020/2021), miongoni mwa taasisi ambazo viongozi wanajipatia fedha za umma kwa njia za ujanja ujanja ni Shirika la Bima la Taifa (NIC). CAG anaonyesha wazi kwamba, kiasi cha...
  14. vtuko

    Uchambuzi wa Ripoti ya CAG (2020/2021): Shirika la Bima la Taifa

    Katika ripoti ya CAG (2020/2021), miongoni mwa taasisi zenye madeni makubwa kabisa ni Shirika la Bima la Taifa (NIC). Shirika la Bima lina deni la shilingi bilioni 275. Miongoni mwa mapendekezo aliyoyatoa CAG ni kwamba, taasisi zenye madeni makubwa kama NIC zipewe fedha kutoka Serikalini ili...
Back
Top Bottom