Recent content by Vsanene

  1. Vsanene

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Forsale: 4G pocket wifi 30k

    20gb kwa mwezi wa kwanza na 5gb kila mwezi kwa miezi 12
  2. Vsanene

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Forsale: 4G pocket wifi 30k

    0654043435 nichek kwa hii number kwa maelezo zaidi mkuu.
  3. Vsanene

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Forsale: 4G pocket wifi 30k

    Nikifikisha target napata apo ka kitu. Bei yake ni 50k so me nimekupunguzia kidogo ili nikimbizane na target yao.
  4. Vsanene

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Forsale: 4G pocket wifi 30k

    Me ni freelance wa airtel wa kuuza izi mifi
  5. Vsanene

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Forsale: 4G pocket wifi 30k

    Mkuu, nakufata ulipo nakupa yenye guarantee + receipt. Huna haja ya kuchoma mafuta mpaka Morocco.
  6. Vsanene

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Forsale: 4G pocket wifi 30k

    Me pia ninayo elfu 45 ina ofa ya 20gb bure nipo dar.
  7. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Internet MiFi za airtel

    Yah ni limited
  8. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Internet MiFi za airtel

    Ooh sawa hii inaisha kwa jinsi unavyotumia manake inakuonesha matumizi yako. Hivyo usipotumia bundle lako liko pale pale afu pia izi ni mpya.
  9. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Internet MiFi za airtel

    Habari mkuu! Unaeza nicheki kwa number hii 0654043435 nakufata ulipo na kukuunganisha.
  10. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Internet MiFi za airtel

    Mkuu habari! Ukinunua ya mwezi ina maana mwezi ukiisha itakuwa ime expire kuanzia ile tarehe uliyo ninja. Yaani kwa kifupi izi bundle zake ni limited.
  11. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Internet MiFi za airtel

    Habari wadau, Karibu ujipatie internet mifi za airtel kwa shillingi elfu 50 tuu. inaunganisha zaidi ya watu 10 kwa umbali wa mita 100, na vifurushi vyake ni vizuri na speed ya uhakika karibuni sana wateja. Unaeza nichek kwa number 0654043435 kwa maelezo zaidi.
  12. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Majambazi Wakenya Walivyotikisa na Kuweka Historia Kanda ya Kaskazini Nchini Tanzania

    Nasubiri kuona picha ya sura ya Macho Mbaya mkuu
  13. Vsanene

    JamiiForums Tanzania SoC01 Siri ya mafanikio katika maisha ya binadamu

    Asanthe sana, hili chapisho limegusa maisha yangu kabisa.
  14. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    😂😂😂 jf rahaa sana
  15. Vsanene

    JamiiForums Tanzania Mwezi wa 4 sasa simu yangu sina picha au video yoyote ya ngono

    Hongera sana mkuu, Kwa upande wangu sijawah eka picha za ngono kwenye cm.
Back
Top Bottom