Yaan wapinzani hatimae mnaonekana kama #wajinga tu, mara mdai ccm inatumia Tume na Polisi kushinda chaguzi.. Mara tena ati ccm inanunua wapinzani! Hivi kwel kama ccm inajua kabisa itatumia Tume na Polisi kushinda chaguzi itatumiaje tena Pesa kununua watu??! Please, wapinzani ought to be serious...
Sorry, hayo c maamuz magum mkuu bali ni maamuz MAKINI na ya busara... Maamuzi magum ni kama kujinyonga, kuhonga 280000 kutoka laki tatu pekee uliyonayo, kujisaidia haja kuu barabarani ilihal u mtu mzima timamu, kutumia gharama kuuuubwa kutafuta cheo na bado ukashindwa na aliyetumia gharama...
Tehtehteh hata cjui nikuiteje wewe pamoja na walioku like.. But bahati nzuri mh Mkapa alishamaliza so unajijua... Utafurahiaje watu baadhi (kiduchu sana 8%)kumponda Rais mapema hivi kwa mwanzo wake mzuri na hapo hapo unawadharau wanaompongeza (92%)mapema?? Nadhani we ni miongoni mwa wachache...
Tehtehteh Chadema kweli hamna akili!! Hivi na nyie mmeng'ang'ana kabisa kujilinganisha na ccm ya 2010?! Yaan mnakiri kabisa kwamba leo mmegeuka kuwa ccm ya 2010 na ccm kuwa Chadema ya 2010??!!... Kweli ukihamishia choo chumbani, huna budi kukubaliana na HARUFU kali...
Tehtehteh Tehtehteh yaaani raha nimesoma comment karibu zote ikiwamo na yako... Nilichogundua ni kwamba dr Slaa amekuwa mwiba mkali sana kwa Wakiwa aisee!!! Naona Malofa yanaweweseka balaa... Shida ni nini, yaan nyie muongee mtakacho halafu mumuzuie yeye kuongea?! Halafu si mlidai hana impact...
Tehtehteh wanachekesha sana, wanang'ang'ana hana impact WAKATI mapovu yanawatiririka tu.. kwenye uzi wake.!! Ukweli mnaujua tu kuwa huyo ndo kiboko yenu..... Tehtehteh mibavicha bana....
Tehtehteh jaman si tutumie hata akili ndogo tu.. Hivi unategemea EL mwenyewe akutamkie kuwa anaumwa?! Aaaah wapi, yule jamaa anausongo mno na ikulu yuko ladhi hata aende pale akakae tu.. Kwa hiyo usitarajie kumsikia akisema anaumwa.. Ila ujue akishaingia ikulu yeye lake limetimia, majanga...
Tehtehteh mbona mnazunguka. Ukweli ni kwamba jamaa anaumwa, nadhani hilo hata wewe unalifaham...wala kuumwa c ajabu LAKINI ajabu inakuja pale mgonjwa anapolazimisha "kufanya kazi" wagonjwa huwa wanaachwa wapumzike jaman... Hata wewe ukiugua huwez kwenda kazini na hata boss akigundua hali yako...
Tehtehteh ndg huwez ukapima mambo kwa mtu aliyeko segerea, kwanza kabisa mtu aliye segerea hawezi kuona katendewa haki hata kama kweli ni mkosaji.. Kwa hiyo ataichukia serikali tu lazima.. Na pili mtu wa segerea hapigi kura.... So sioni impact yake at all... Yaliyowafanya wawe segerea kila mtu...
Cha ajabu ni nini hapo?? Hebu jikite kwenye hoja ndg, hili tatizo lenu la kuambiwa UKWELI mnajifanya hamsikii, lazima liwagharimu tu... Mtoa mada kasema mambo kisomi kabisa but mnajifanya hayawahusu!!! Kiukweli Chadema ya sasa ukiitazama bila kuweka ushabiki unaona hakuna chama pale kabisa, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.