WASHINGTON D.C. — Aliyekuwa Balozi wa Marekani nchini Israel, Daniel Shapiro, ametoa tamko zito linalozua mjadala mpana, akidai kuwa vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vilikuwa kosa la kihistoria na ni lazima vifike kikomo mara moja ili kuepusha madhara zaidi.
Katika tathmini yake ya...
Maslahi gani unayoongelea ni kitu gani ambacho USA akikitaka apa tanzania mtamnyima? Nchi ilivyojaa Rushwa hii kila kona.. Tanzania na kenya ni nchi za kimkakati kwa africa mashariki kwa USA ..ndio mahana uwezi sikia mambo ya ugaidi wala vita za ajabu
Tuletee source ya habari yako..watu wamempigia mpaka senetor cruz na shaeen wanasema ilo jambo halipo muswada uko pale pale bunge pekee likikaa ndio linaweza kuondoa baadhi ya vipengele na 100% ya wabunge wengi wameshausoma muswada wanaenda kuupitisha.
Angekuwepo mpaka leo hali ingekuwa ngumu sana wawekezaji wote wangeondoka na angefosi aendelee tena kuongoza kwa kisingizio kuwa watu wanampenda.. kungekuwa amna chama ata kimoja cha upinzani angevifuta kabisa
Qatar, turkey wote nasikia walimpa offer ya uraia ili aweze kuingia marekani bila shida akagoma..somalia wameruhusu uraia pacha alikuwa anachukua uraia ata wa Qatar uku uraia wake wa somalia ukiendelea kubaki akakaza fuvu by the way CANADA na MEXICO zimemruhusu achezeshe kwenye nchi zao kama...
BREAKING NEWS…!!
SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO
Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji wakitakiwa kuripoti kambini tarehe 4 Julai 2026 kwajili ya maandalizi ya Kombe la Dunia la FIFA kwa U17...
Augustino Lissu, mtoto wa mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress nchini Marekani.
Akizungumza kama mtoto na si mwanasiasa, Augustino alieleza jinsi alivyokuwa katika kivuli cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.