BREAKING NEWS…!!
SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO
Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji wakitakiwa kuripoti kambini tarehe 4 Julai 2026 kwajili ya maandalizi ya Kombe la Dunia la FIFA kwa U17...
Augustino Lissu, mtoto wa mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress nchini Marekani.
Akizungumza kama mtoto na si mwanasiasa, Augustino alieleza jinsi alivyokuwa katika kivuli cha...
Kama heading inavyojieleza makada waanza kujitokeza kumjibu simai aliyoyaongea kuhusu YUDA ndani panawaka moto yetu macho wachatuone mwisho wao.
=====
"Waziri wa utalii kule Zanzibar na hoja zake za kutatanisha kwamba kwanini alijiuzulu uwaziri kule anakuja kumkashifu na kumvunjia heshima...
Unauchukia sana uislamu kwa taarifa yako walikuwepo wenzako wenye nguvu na mamlaka apa duniani walijaribu kushindana na uislamu mwisho wake waliondoka kwa aibu uku uislamu ukiendelea kuenea kwa kasi na kusonga mbele.. Hakuna dini iliyokamilika apa duniani zaidi ya uislamu ..utapata tabu sana...
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27.
Akiwasilisha Mapendekezo ya Mpango na Bajeti bungeni, Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa...
Amefanya kosa la karne kwenda Russia nadhani ata yale mazungumzo USA watayaweka kapuni na kupitisha mswaada wao..waliomdanganya wamempoza mazima uwezi kushindana na west ukatoboa labda mungu apende ..Russia mwenyewe yuko hoi bin taabani ndugu yao CUBA kapigwa vikwazo vya mafuta wanashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.