Balozi ndio mtu wa kwanza anayefahamu wananchi wake wanaomzunguka .. System yote ya serikali na sekta binafsi inawatambua.. wewe unayesema hawapo kwenye katiba na ukienda serikali ya mtaa unahudumiwa vizuri wanakuchekea wanaokuhudumia mm ukija kwangu huna barua kutoka kwa balozi sikusaidii...
Rejea kichwa cha habari apo juu kuna viwanja ambavyo vimekatwa vinauzwa vyenye Square mita 500 kila kimoja eneo ni zuri na viko karibu na shule ya secondary ya The new ambassador..kutoka viwanja vilipo mpaka kufika uwanja wa ndege wa JK nyerere ni dakika 5 tu..
Flora lazima ajutie uyo jamaa sasa ivi Ana hela vibaya kuna kasri lake kalijenga mitaa ya Tabata siyo poa..anamiliki benzi ya milion 80 pamoja na V8 ya milion 400 bado vitakataka kama harrier na wenzake ..jamaaa ni Ana hela sasa ivi vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.