Recent content by Vonzelewsk

  1. V

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys imevunja kambi yake leo Juni 5 lakini hawajapewa Tsh. Milioni 500 walizoahidiwa na Rais Samia

    Ningekuwa mimi ndio mmoja wa wachezaji apo moto ambao ningeuwasha wangejuta
  2. V

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys imevunja kambi yake leo Juni 5 lakini hawajapewa Tsh. Milioni 500 walizoahidiwa na Rais Samia

    Nilijua tu TFF awawezi kuiacha iyo 500m
  3. V

    JamiiForums Tanzania Serengeti Boys imevunja kambi yake leo Juni 5 lakini hawajapewa Tsh. Milioni 500 walizoahidiwa na Rais Samia

    BREAKING NEWS…!! SERENGETI BOYS WAVUNJA KAMBI NA VILIO KIBAO Timu ya Taifa ya Soka ya U17 ya Tanzania (Serengeti Boys) imevunja kambi yake leo pale Tiffany Diamond Hotel huku wachezaji wakitakiwa kuripoti kambini tarehe 4 Julai 2026 kwajili ya maandalizi ya Kombe la Dunia la FIFA kwa U17...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Augustino Lissu, mtoto wa Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress

    Augustino Lissu, mtoto wa mwanasiasa mashuhuri wa upinzani nchini Tanzania, Tundu Lissu, ametoa ushuhuda mzito na wenye hisia kali mbele ya maofisa wa Bunge la Seneti na Congress nchini Marekani. Akizungumza kama mtoto na si mwanasiasa, Augustino alieleza jinsi alivyokuwa katika kivuli cha...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Kile kikao kilichopindisha utaratibu wa chama kumbe ni "Yuda" alijipanga, akashtukiwa na kupewa cha namba 2 ili kummaliza kabisa

    Nasikia YUDA na yeye ajambo yuko vizuri siyo wa kumchukulia poa poa
  6. V

    JamiiForums Tanzania Kada CCM: Hatuwezi kukubali Makamu wa Rais Kukashifiwa na Kuvunjiwa Heshima. Simai futa kauli zako

    Kama heading inavyojieleza makada waanza kujitokeza kumjibu simai aliyoyaongea kuhusu YUDA ndani panawaka moto yetu macho wachatuone mwisho wao. ===== "Waziri wa utalii kule Zanzibar na hoja zake za kutatanisha kwamba kwanini alijiuzulu uwaziri kule anakuja kumkashifu na kumvunjia heshima...
  7. V

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    Ety uyu nae anajiita jasusi..mavi ya bata tu uyu kichwani amna kitu
  8. V

    JamiiForums Tanzania HOJA Kutoka Urusi: Madhaifu ya Chuo kinachotaka kumpa Samia PhD inauzwa kwa 100,000$ kukuza propaganda

    Unauchukia sana uislamu kwa taarifa yako walikuwepo wenzako wenye nguvu na mamlaka apa duniani walijaribu kushindana na uislamu mwisho wake waliondoka kwa aibu uku uislamu ukiendelea kuenea kwa kasi na kusonga mbele.. Hakuna dini iliyokamilika apa duniani zaidi ya uislamu ..utapata tabu sana...
  9. V

    JamiiForums Tanzania Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hi

    Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27. Akiwasilisha Mapendekezo ya Mpango na Bajeti bungeni, Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa...
  10. V

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi Juni 5, 2026

    Amefanya kosa la karne kwenda Russia nadhani ata yale mazungumzo USA watayaweka kapuni na kupitisha mswaada wao..waliomdanganya wamempoza mazima uwezi kushindana na west ukatoboa labda mungu apende ..Russia mwenyewe yuko hoi bin taabani ndugu yao CUBA kapigwa vikwazo vya mafuta wanashindwa...
  11. V

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi Juni 5, 2026

    Dahhhh😂😂😂 we jamaa
Back
Top Bottom