Recent content by Vonzelewsk

  1. V

    Phone4Sale Nauza Samsung A15 ina wiki 1 tu full box

    SAMSUNG A15 INA WIKI 1 TU FULL BOX OFFER RAM 4GB, 128GB ROM BEI 260K MAONGEZI INBOX.. 0657262645
  2. V

    Muda umefika wajumbe wa nyumba kumi wapatikane kwa kushindanisha vyama vyote kama ilivyo kwa viongozi wa mtaa, Kijiji na kitongoji

    Balozi ndio mtu wa kwanza anayefahamu wananchi wake wanaomzunguka .. System yote ya serikali na sekta binafsi inawatambua.. wewe unayesema hawapo kwenye katiba na ukienda serikali ya mtaa unahudumiwa vizuri wanakuchekea wanaokuhudumia mm ukija kwangu huna barua kutoka kwa balozi sikusaidii...
  3. V

    Viwanja vinauzwa Tabata Segerea

    Rejea kichwa cha habari apo juu kuna viwanja ambavyo vimekatwa vinauzwa vyenye Square mita 500 kila kimoja eneo ni zuri na viko karibu na shule ya secondary ya The new ambassador..kutoka viwanja vilipo mpaka kufika uwanja wa ndege wa JK nyerere ni dakika 5 tu..
  4. V

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man city alichonfanya jana dahh
  5. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Acha tu mkuu apo ndio namshangqa why analeta tunda kila ninapoitaji muda wowote..
  6. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Hisia mkuu si unajua mazoea ujenga tabia
  7. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Ni mzee mwenzako mimi
  8. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Simpi chochote tena uwa anakuja na nauli yake mimi uwa namuongezea tu nikiamua
  9. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Akili inaniambia ivyo ivyo ila moyo ndio shida
  10. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Ni kweli mkuu najaribu kujitoa mdogo mdogo nikiwa ndani
  11. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Nimekuelewa sana mkuu
  12. V

    Mahusiano ya upande mmoja

    Ndani ya jiji la mzizimq
  13. V

    Emmanuel Mbasha: Nitaoa mwanamke muuza Baa, sihitaji wale wa kanisani

    Flora lazima ajutie uyo jamaa sasa ivi Ana hela vibaya kuna kasri lake kalijenga mitaa ya Tabata siyo poa..anamiliki benzi ya milion 80 pamoja na V8 ya milion 400 bado vitakataka kama harrier na wenzake ..jamaaa ni Ana hela sasa ivi vibaya
Back
Top Bottom