"Marehemu anapokata roho ukisogea karibu atakumaliza anaporusha mateke"...
Marehemu anatutoka, twende nae taratibu hata kama anatutukana anavyoondoka..kauli si thabit tena ni mitutu ambayo imeshikiliwa na uzi mwembamba sana!
Content zenu pia zinachangia kifo chenu...kila muda mmeweka uchambuzi wa mpira tu ilhali nchi ina matatizo na issue kibao za kuzungumza!
Just imagine saa moja asubuh unaenda job ukiweka redio ni uchambuzi wa mpira..frankly inakera sana!
Uzur gharama za maisha hazina itikadi!
Hadi 2029 kwa mwendo wa mfumuko wa bei na miundombinu ya barabara kuharibika kabisa...sijui ccm watakuja nan lipi haswa?
Au pyu pyu tenaa? Sidhani!
Siasa zilivyo na kwa jinsi mambo yalivyo hadi sasa..baada ya huu utawala kumaliza kipindi chake, tukubali tukatae hii siku lazma itaingizwa kwenye siku za maombolezo makubwa sana nchi nzima! (JUMATANO NYEUSI).
Iwe ni CCM au upinzani watakaokuwa madarakani..mliopo madarakani sasa mtatumika kama...
Baada ya huu utawala...tarehe 29/10/2025 inaenda kuwekwa siku ya kumbukumbu ya mauaji ya halaiki na mnara kila mkoa kuwaezi watanzania waliouwawa wakipigania utawala bora na haki!
Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.
Hadi 2029...CCM itakuwa ni kama kumsukuma mlevi...mambo mengi sana ikiwemo mfumuko wa bei na miundo mbinu iliyoharibika...
Sadly kule bungen ni kusifu na makofi tu...kumbe walipaswa rekebisha makosa yaliyowagharim 2025...
Ile ya 2025 haitakaa itokee tena wataondoka wao ccm sio watu tena kufa!
Rwanda na hao wanyarwanda mbona wako overrated kiasi hicho?
Whats so special with them?
As far as i know its a third world country with a dictator in power!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.