Hivi mtu mzima mwenye familia anashairiwa na kushawishiwa aandamane?
Haya ni madharau kwa wananchi?
Ina maana hali ya maisha hawaioni hadi washawishiwe?
Haki?
Watu kutekwa na kupotea?
Wizi wa kura?
Mwacheni dada aa taifa la atulie zake
Haitarudisha uhai wa waliouliwa kikatili na serikali ya Ccm!
Haitarudisha miili ya watu waliozikwa kwenye makaburi ya halaiki!
Kama walishindwa kukemea mauaji, hii credibility ya kuiombea tume batili wanaitoa wapi?
Binafsi sina wasiwas na Lissu, kutoka kwake ilikuwa ni muhim sana given his health codition!
Wasichokijua, ni ngum sana kumlisha Lissu maneno na ku mmanipulate..kazi ndio itakuwa imeanza!
Ndiyo sababu ya kutaka katiba mpya, ili watu wasijifiche kwenye kichaka cha mchicha sababu ya katiba dhaifu ya 77.
Watu wanauwawa, wanapotezwa, rasililimali za nchi zinachezewa kisa?
Tuna kichaka cha kutomshtaki No.1!
Waliotufunza democrasia wanawajibisha matop..mfano France..Israel..Uk...sisi...
Hii issue nimeiona pia mwendokas wa Mwenge -Tegeta...kwanini wasingeweka njia tatu kama wanavyofanya sasa Ubungo - Kimara...
Dar ni jiji namba moja, linahitaji miundombinu ya mfano kama Nairobi na Durban...sasa tutashangaa after 5yrs wanavunja wanaongeza kama wanavyofanya ubungo..hii sio sawa...
Kwa mentality hii bro kuna haja gani ya kujiiita Mtz ilhali unajua huna say?
Wewe kama mwandishi "Nguli" ndio uko front kabisa unakatisha vijana wazalendo tamaa...
Ukishindwa kuitumia kalamu yako, kaa kimya werevu wakusaidie, usiwakatishe tamaa kama wewe ushakubali ni mtu usiye na mbele wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.