Ccm kwa namna moja au ingine inakosea sana wananchi!
Yaani urais ushaonekana na ni deal!
Watanzania tuamkeni , inavoonekana tunapoenda hamna walichojifunza 2025!
September 29/2025 will go down as the darkest day of mother Tanganyika!
There was no game there, people wanted authorities to understand their grief in a way never seen, why?
Hawasikilizwi!
Mahakama kazi yake ni kubinya upinzani period!
Kwani sisi watoto wadogo hatuoni?
Au ni wapuuzi kiasi hicho hata kwa macho tuu?
Mahakama imepoteza credibility kwa aina ya kesi za kubambikia,salama yako ni uwe CCM, otherwise utakoma!
Naona mmeambiwa muanzishe uzi zinazofanana kupoteza wajinga!
Ccm imeua na kuzika watu wengi mno october!
Uchaguzi wameiba!
Hawa ndio wanashida kubwa kuliko kipindi kingine chochote!
NImeskiliza na kusoma maoni ya Legend Mustapha Hajji...kweli yamenishangaza kwa ubinafsi aliouonesha..." Amesema sheria zipo na ziheshimiwe,so kama sheria imetaka hivyo,acha iwe"
Hajazungumzia sheria ambayo Tz tulinyimwa point dk za mwiisho kabisa, kaonesha unafki wa hali y jui,kwamba sheria ni...
Kwa kweli inasikitisha mnooo...
Wazazi wetu walikuwa na majina ya kizungu na naamini wwngi wao hawakuwa na maana sahihi ya hayo majina,just because lili sound vizur tu au lilimpendeza tu kulitumia ilitosha!
Shida inazidi hawa wasomi weengi walioongezeka nao wanafuta mikumbo ile ile yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.