Recent content by Voltaire

  1. Voltaire

    Rais Samia: Kuna changamoto mifumo ya Serikali kutosomana kikamilifu

    Elewa neno "haisomani"...maelekezo kwa TRA hayo! Maji yataitwa mma!
  2. Voltaire

    Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Ccm kwa namna moja au ingine inakosea sana wananchi! Yaani urais ushaonekana na ni deal! Watanzania tuamkeni , inavoonekana tunapoenda hamna walichojifunza 2025!
  3. Voltaire

    Walio ndani wanasemaje kwenye hili sekeseke la 2030, Acha niseme kidogo ili watu Msidanganywe maana tuna mtu wetu tayari kutoka kwa WAKUU WAWILI

    September 29/2025 will go down as the darkest day of mother Tanganyika! There was no game there, people wanted authorities to understand their grief in a way never seen, why? Hawasikilizwi!
  4. Voltaire

    Kilio na sala ya Lissu toka Ukonga: Watanzania mmelala? Mimi sijalala

    Kwa jina Yesu nakataa roho ya mauti kwa TAL...Mungu aliyemweka hai pamoja na risasi 17 alizopigwa atamweka hai hadi siku anayoijua yeye mwenyewe!
  5. Voltaire

    Sugu: CCM sasa hivi hawatawali nchi, inatawaliwa na Dola. Huenda CCM wamenyang'anywa jukumu la kufanya Siasa

    WEzi wa kura,wauwaji, wafiraji! Ili wabaki madarakani wapigie ela period!
  6. Voltaire

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Mahakama kazi yake ni kubinya upinzani period! Kwani sisi watoto wadogo hatuoni? Au ni wapuuzi kiasi hicho hata kwa macho tuu? Mahakama imepoteza credibility kwa aina ya kesi za kubambikia,salama yako ni uwe CCM, otherwise utakoma!
  7. Voltaire

    CHADEMA isipojirekebisha, ina hatari ya kuwa kama kuku aliyekatwa kichwa

    Naona mmeambiwa muanzishe uzi zinazofanana kupoteza wajinga! Ccm imeua na kuzika watu wengi mno october! Uchaguzi wameiba! Hawa ndio wanashida kubwa kuliko kipindi kingine chochote!
  8. Voltaire

    Tuomba mamlaka zitoke ziseme Polepole yuko wapi ? Acheni Utani kwenye Uhai wa watu

    "Ccm ina wenyewe"... Gusa wahuni wakutoe!
  9. Voltaire

    Tetesi: Inasemekana, waraka wa kwaresma wa TEC-2026 upo tayari na umejaa maoni binafsi ya katibu mkuu wa baraza hilo pekee

    Waraka wa pasaka najua unawaogopesha wauaji wanaodhani kidonda cha moyo kinaweza kukauka chenyewe kama kidonda cha goti! Hawahongeki,na watasema kweli period!
  10. Voltaire

    Mazingira ya Lissu Bado tata Gerezani!

    Wauaji na wahaini wa kweli ndio wanao ongoza mhimili mwingine kwa woga wao baada ya kuiba kura na kufanya mauaji ya kikatili...so funny!
  11. Voltaire

    Tulishindwa uwanjani kila mtu anajua-Ashraf Hakimu

    NImeskiliza na kusoma maoni ya Legend Mustapha Hajji...kweli yamenishangaza kwa ubinafsi aliouonesha..." Amesema sheria zipo na ziheshimiwe,so kama sheria imetaka hivyo,acha iwe" Hajazungumzia sheria ambayo Tz tulinyimwa point dk za mwiisho kabisa, kaonesha unafki wa hali y jui,kwamba sheria ni...
  12. Voltaire

    Serikali kupanga upya walimu kulingana na ngazi za elimu, wenye diploma kufundisha elimu ya msingi

    Tuwe wa kweli,hapa bongo mwalimu wa Diploma anafundisha kwa weledi na moyo kuliko hawa wa Degree...
  13. Voltaire

    CHADEMA ikifufuka tena ndani ya hii miaka 10 kuanzia 2025- 2035 nitagawa kila ninachomiliki kwa wenye uhitaji na nitaacha kazi

    Chadema inapigiwa promo na CCM, kila siku mavi yanagonga pichu wanaiwaza CHADEMA! Long live Chadema!
  14. Voltaire

    Vizazi Vinne Kutokea Sasa Waafrika Wote watakuwa na Majina ya Kizungu, Very Sad

    Kwa kweli inasikitisha mnooo... Wazazi wetu walikuwa na majina ya kizungu na naamini wwngi wao hawakuwa na maana sahihi ya hayo majina,just because lili sound vizur tu au lilimpendeza tu kulitumia ilitosha! Shida inazidi hawa wasomi weengi walioongezeka nao wanafuta mikumbo ile ile yaani...
Back
Top Bottom