Recent content by Voltaire

  1. Voltaire

    Chadema ni Chama cha neglected society

    JK..man killing CCM.. Na hakuna wa kumfanya chochote, Polepole ni case study!
  2. Voltaire

    Hali anayoipitia Mange kimambi kwasasa iwe funzo damu za watu zinamlilia tuache dhambi dhambi inaua.

    Hivi mtu mzima mwenye familia anashairiwa na kushawishiwa aandamane? Haya ni madharau kwa wananchi? Ina maana hali ya maisha hawaioni hadi washawishiwe? Haki? Watu kutekwa na kupotea? Wizi wa kura? Mwacheni dada aa taifa la atulie zake
  3. Voltaire

    Ripoti ya Jaji Chande je ni mwisho wa CHADEMA Kisheria?

    Unaandika nyuzi nying zisizo na tija!
  4. Voltaire

    PostGE2025 Mambo muhimu ambayo Tume ya Uchunguzi ya Jaji Chande imeyapuuza

    Hamna kazi ngumu kama kutaka kuugeuza ukweli uwe uwongo.
  5. Voltaire

    Ningelikuwa mimi ningelijiuzulu kuliko kubeba dhambi isiyosameheka Mbinguni na Duniani

    Ur so predictable! Nonsense... Step up ur game logically...u'll make more sense.
  6. Voltaire

    PostGE2025 BAKWATA wafanya Dua kuiombea Tume ya Matukio ya Oktoba 29

    Haitarudisha uhai wa waliouliwa kikatili na serikali ya Ccm! Haitarudisha miili ya watu waliozikwa kwenye makaburi ya halaiki! Kama walishindwa kukemea mauaji, hii credibility ya kuiombea tume batili wanaitoa wapi?
  7. Voltaire

    CHADEMA imewasaliti Watanzania

    Spinning za kitoto kabisa! It was seen coming..hamna jipya..mwachien jamaa aje afundishe siasa wajinga wajinga!
  8. Voltaire

    Ya Lissu, Paul Kisabo na Political Spinning inayofanywa na TISS

    Binafsi sina wasiwas na Lissu, kutoka kwake ilikuwa ni muhim sana given his health codition! Wasichokijua, ni ngum sana kumlisha Lissu maneno na ku mmanipulate..kazi ndio itakuwa imeanza!
  9. Voltaire

    Hispania na China zazidi kuimarisha uhusiano wao

    Trump anafanya maisha yawe aghali.. Mathalan kwa zetu maskini.
  10. Voltaire

    CHADEMA iwarudishe kina Yericko, Mrema na wengine bila masharti yoyote

    Kakojoe ukalale usije haribu godoro!
  11. Voltaire

    Tetesi: Ni wazi sasa Tundu Lissu amenyoosha mikono juu na kuomba kutolewa Gerezani na kuingia katika meza ya Maridhiano na mazungumzo

    Lucas chawa la Taifa... Ukija dar usisahau kuleta viaz vya Rungwe...mafuta yamepandisha bei kila kitu huku buguruni.
  12. Voltaire

    Je Wajua, Rais kama Taasisi, Hakosei?, Ila Rais Kama Binadamu, Anaweza Kukosea na Ana Haki ya Kukosea. Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa-Mw. JKN

    Ndiyo sababu ya kutaka katiba mpya, ili watu wasijifiche kwenye kichaka cha mchicha sababu ya katiba dhaifu ya 77. Watu wanauwawa, wanapotezwa, rasililimali za nchi zinachezewa kisa? Tuna kichaka cha kutomshtaki No.1! Waliotufunza democrasia wanawajibisha matop..mfano France..Israel..Uk...sisi...
  13. Voltaire

    DOKEZO Responded Barabara ya kupunguza foleni Dodoma ni mpya lakini imejengwa kizamani, hakuna sehemu ya gari kupaki kwa dharura

    Hii issue nimeiona pia mwendokas wa Mwenge -Tegeta...kwanini wasingeweka njia tatu kama wanavyofanya sasa Ubungo - Kimara... Dar ni jiji namba moja, linahitaji miundombinu ya mfano kama Nairobi na Durban...sasa tutashangaa after 5yrs wanavunja wanaongeza kama wanavyofanya ubungo..hii sio sawa...
  14. Voltaire

    Rostam Aziz -Ni kundi la wanasiasa mafisadi wanaojiita wawekezaji

    Kwa mentality hii bro kuna haja gani ya kujiiita Mtz ilhali unajua huna say? Wewe kama mwandishi "Nguli" ndio uko front kabisa unakatisha vijana wazalendo tamaa... Ukishindwa kuitumia kalamu yako, kaa kimya werevu wakusaidie, usiwakatishe tamaa kama wewe ushakubali ni mtu usiye na mbele wala...
Back
Top Bottom