Recent content by Voltaire

  1. Voltaire

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Emmanuela Mtatifikolo akabidhiwa cheti cha Ushindi Ubunge Jimbo la Ismani

    Kulikuwa na uchaguzi?
  2. Voltaire

    JamiiForums Tanzania October 29: Kumbukumbu ya Vifo vya Watanzania!

    "Marehemu anapokata roho ukisogea karibu atakumaliza anaporusha mateke"... Marehemu anatutoka, twende nae taratibu hata kama anatutukana anavyoondoka..kauli si thabit tena ni mitutu ambayo imeshikiliwa na uzi mwembamba sana!
  3. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Kusaga: Tunakoelekea radio nyingi zitafungwa

    Content zenu pia zinachangia kifo chenu...kila muda mmeweka uchambuzi wa mpira tu ilhali nchi ina matatizo na issue kibao za kuzungumza! Just imagine saa moja asubuh unaenda job ukiweka redio ni uchambuzi wa mpira..frankly inakera sana!
  4. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Barabara ya babati to katesh ni hatar kwa matumiz ya magari Imeharibika mnoo!
  5. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Mbele ya Waziri Mkuu, Mzazi afikisha malalamiko ya mwanae kutekwa na Waliojitambulisha kuwa ni Polisi

    So bila Wazir kupita hapo huyo mama angesikilizwa na nani? Iko shida!
  6. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Kukaa kimya kwa Mbowe hakumsaidii chochote, zaidi ya kumtambulisha ni mtu wa kununa

    FAM anatetewa na ccm sasa..hatar sana
  7. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Tafadhali Rais Samia... Hakuna anayekuamini...

    T Rais wa Jk, period!
  8. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa Mafuta na Hatari ya Migomo na Maandamano Nchi Nzima

    Uzur gharama za maisha hazina itikadi! Hadi 2029 kwa mwendo wa mfumuko wa bei na miundombinu ya barabara kuharibika kabisa...sijui ccm watakuja nan lipi haswa? Au pyu pyu tenaa? Sidhani!
  9. Voltaire

    JamiiForums Tanzania October 29: Kumbukumbu ya Vifo vya Watanzania!

    Naamini hata waliotumwa kufanya ule ukatili wanaumia!
  10. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Mke wangu alipata muarabu akaolewa naye, wakaachama akarudi kwangu nikamuoa tena

    Umekagua marinda? Waarabu wanapenda sana harufu ya nnya!
  11. Voltaire

    JamiiForums Tanzania October 29: Kumbukumbu ya Vifo vya Watanzania!

    Siasa zilivyo na kwa jinsi mambo yalivyo hadi sasa..baada ya huu utawala kumaliza kipindi chake, tukubali tukatae hii siku lazma itaingizwa kwenye siku za maombolezo makubwa sana nchi nzima! (JUMATANO NYEUSI). Iwe ni CCM au upinzani watakaokuwa madarakani..mliopo madarakani sasa mtatumika kama...
  12. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Majina ya hawa watoto waliouliwa…..

    Baada ya huu utawala...tarehe 29/10/2025 inaenda kuwekwa siku ya kumbukumbu ya mauaji ya halaiki na mnara kila mkoa kuwaezi watanzania waliouwawa wakipigania utawala bora na haki! Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.
  13. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Bilioni 50 kujenga km 2 za Barabara. Kristo uturehemu

    Hadi 2029...CCM itakuwa ni kama kumsukuma mlevi...mambo mengi sana ikiwemo mfumuko wa bei na miundo mbinu iliyoharibika... Sadly kule bungen ni kusifu na makofi tu...kumbe walipaswa rekebisha makosa yaliyowagharim 2025... Ile ya 2025 haitakaa itokee tena wataondoka wao ccm sio watu tena kufa!
  14. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu Kuhusu Wanyarwanda Tanzania

    Rwanda na hao wanyarwanda mbona wako overrated kiasi hicho? Whats so special with them? As far as i know its a third world country with a dictator in power!
Back
Top Bottom